TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 9, 2013

MCHUNGAJI MTIKILA AONGOZA CHAMA CHA DP KUTOA MAONI YA KATIBA MPYA

  on January 8, 2013 

Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (katikati) akizungumza katika mkutano uliofanyika leo (Jumanne, Januari 8, 2013) katika Ofisi za Tume hiyo Jijini Dar es Salaam na Chama hicho kilipowasilisha maoni yao Kuhusu Katiba Mpya mbele ya Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakiongozwa na Jaji Joseph Warioba. Kulia ni Katibu wa Tume Assaa Rashid na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba.
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akizungumza na Viongozi wa Chama cha Democratic (DP) wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mchungaji Christopher Mtikila (kushoto) waliofika katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam leo (Jumanne Januari 8, 2013) kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya. Katikati ni Katibu wa Tume, Assaa Rashid.
 
Viongozi wa Chama cha Democratic (DP) wakiongozwa na Mchungaji Christopher Mtikila (kushoto) wakifuatilia kwa makini hoja zilizokuwa zikitolewa na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati wa mkutano baina yao uliofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume hiyo Jijini Dar es Salaam leo (jumanne Januari 8, 2013).
 (PICHA NA TUME YA KATIBA)

No comments:

Post a Comment