TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 9, 2013

RAIS DK. SHEIN AZINDUA SHULI YA MADUNGU PEMBA

 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipowasili
kufungua Skuli ya Sekondari ya Madungu Wilaya Chake chake Pemba
jana,katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akifunua pazia kuashiria kufunguliwa kwa  Skuli ya Sekondari ya Madungu Wilaya
Chake chake Pemba jana,katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi
Matukufu ya Zanzibar,(kushoto) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali
Juma Shamuhuna,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,Akifungua Skuli ya Sekondari ya Madungu Wilaya Chake chake Pemba
jana,katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.}

 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akitembelea katika maabara ya Skuli ya Sekondari ya Madungu
Wilaya Chake chake Pemba jana,baada ya kuifungua rasmi katika
kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,{Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.}
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akitembelea katika chumba cha maktaba  ya Skuli ya Sekondari ya
Madungu Wilaya Chake chake Pemba jana,baada ya kuifungua rasmi katika
kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,{Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.}

No comments:

Post a Comment