TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 9, 2013

WANA NCHI WA KATA YA ITENKA .A. WAPANDA JUU YA MITI KUMUONA WAZIRI MKUU ALIPOKUWA ANAWAHUTUBIA

 
Wana nchi wa kata ya Itenka A jimbo la katavi wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza Mh waziri mkuu Mizengo Pinda alipo kuwa ana hutubia kuhimiza watu kulima kwa kutumia kilimo cha kisasa mwishoni mwa wiki wana nchi wengine walilazimika kupanda juu ya miti (Picha na Chris Mfinanga)
 
Mke wa Waziri mkuu Mh Tunu Pinda akiwa ana sugua chungu ambacho hutumika katika ngoma marufu itwayo Nsimba  ya kabila la wapimbwe ambayo ilikuwa ikichezwa katika kata ya Itenka A na kikundi hicho  kinaitwa Pinda (Picha na Chris Mfinanga)

No comments:

Post a Comment