TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, August 14, 2014

MGONJWA AKUFARIKI DUNIA SINGIDA MUDA MCHACHE BAADA YA dAKTARI FEKI KUMCHANGANYIA MADAWA.


Vitendo vya watu kujifanya watumishi wa idara mbalimbali hapa nchini vimekuwa vikiendelea kukithiri, baada ya mtu moja katika kijiji cha Iyumbu wilaya ya Ikungi mkoani Singida kujifanya daktari na kusababisha kifo cha mgonjwa kwa kumwekea chupa za maji tisa zikiwa zimechanganywa na dawa pamoja na vidonge sita

No comments:

Post a Comment