TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, April 28, 2016

Waajiri Wote Wanaodaiwa Malimbikizo Ya Michango Ya NSSF watakiwa Kulipa Michango Kabla Ya Tarehe 30.06.2016












Itakapofika mwezi julai, 2016 shirika halitakuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya kuwapeleka mahakamani waajiri wote wanaodaiwa michango ya wafanyakazim, tungependa kila mwajiri atomize wajibu wake ili kuepuka usumbufu wa muda na mambo mengine lengo la nssf siku zote ni kuwa na mahusiano mazuri na waajiri na hatua za kisheria dhidi ya waajiri zinachukuliwa kama hatua za mwisho (Last resort) za kumfanya mwajiri atomize wajibu wake pale ambapo njia zingine zote zimeshindikana (zimegonga mwamba), lakini katika mazingira ya kawaida shirika halitarajii kwamba waajiri watashidnwa kutimiza wajibu wao mpaka wachukuliwe hatua za kisheria. Aidha kwa upande mwingine, serikali pamoja na vyombo vya sheria, mahakama na ofisi ya mwendesha mashitaka mkuu wa serikali (DPP) wameahidi kutoa ushirikiano kwa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii – NSSF katika kutekeleza majukumu yake.










Itakapofika mwezi julai, 2016 shirika halitakuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya kuwapeleka mahakamani waajiri wote wanaodaiwa michango ya wafanyakazim, tungependa kila mwajiri atomize wajibu wake ili kuepuka usumbufu wa muda na mambo mengine lengo la NSSF siku zote ni kuwa na mahusiano mazuri na waajiri na hatua za kisheria dhidi ya waajiri zinachukuliwa kama hatua za mwisho (Last resort) za kumfanya mwajiri atomize wajibu wake pale ambapo njia zingine zote zimeshindikana (zimegonga mwamba), lakini katika mazingira ya kawaida shirika halitarajii kwamba waajiri watashidnwa kutimiza wajibu wao mpaka wachukuliwe hatua za kisheria. Aidha kwa upande mwingine, serikali pamoja na vyombo vya sheria, mahakama na ofisi ya mwendesha mashitaka mkuu wa serikali (DPP) wameahidi kutoa ushirikiano kwa hsirika la taifa la hifadhi ya jamii – NSSF katika kutekeleza majukumu yake.

No comments:

Post a Comment