TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, January 22, 2014

JEURI YA FWEZA HII SUPER STAR SINGER KOFFI OLOMIDE BAADA YA KUNUNUA GARI LA AJABU

Ukiwataja wanamuziki matajiri basi Koffi ni mmoja wao, akiwa anamiliki 5 Star Hotel na akiwa na hisa kwenye kampuni kadhaa ndani ya Congo na nje ya Congo Koffi anaorodheshwa kuwa ni mmoja wa wanamuziki ambao wamefaidika vilivyo na muziki wao.

Majuzi Koffi aliingiza gari mpya Model ya 2012 aina ya Rolls Royce Phantom na kuitambiulisha kwa mashabiki.

Pichani Koffi Olomide akiwa mbele ya gari yake. Koffi ametangaza kung’atuka kwenye shughuli ya Muziki baada ya kutoa albamu yake mpya ambayo iko studio kwa sasa, Hii itakuwa ni Albamu ya 20 ya mwanamuziki huyu ambaye anamaliza akiwa na mafanikio na mpaka sasa albamu zake tatu zimeorodheshwa kwenye listi ya albamu 1000 ambazo unapaswa kusikiliza kabla ya kuondoka duniani (kufariki).

No comments:

Post a Comment