TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, January 26, 2015

DK.SHEIN AFUNGUA KONGAMANO MAALUM LA CCM PEMBA.

1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa CCM alipowasili katika Skuli ya  Fidel Castro Januari 26, 2015 kufungua  Kongamano maalum la Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba.
PICHA  ZOTE NA IKULU
2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Pemba Hamadi Bakari Mshindo mara alipowasili katika viwanja vya Skuli ya Fidel Castro leo kufungua  Kongamano maalum la Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba.

3
Washiriki wa Kongamano maalum la Wanachama wa CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba wakimkaribisha  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipowasili katika ukumbi wa Fidel Casrto Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba kufungua Kongamano hilo leo.
4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai(katikati) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Pemba Hamadi Bakari Mshindo (kushoto) Katibu wa Kamati  Maalum wa Idara ya SUKI Eng.Hamadi Yussuf Masauni(kulia) wakiwa katika Kongamano maalum la Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba lililofanyika leo katuka ukumbi wa Skuli ya Fidel Castro Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba
5
Katibu wa Kamati  Maalum wa Idara ya SUKI Eng.Hamadi Yussuf Masauni akitoa taarifa fupi inayohusu Kongamano  mbele ya mgeni rasmi  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa Skuli ya Fidel Castro leo Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba.
6
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai akimkaribisha  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein kufungua Kongamano maalum la Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba katika ukumbi wa Fidel Casrto Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba leo.
8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akitoa  hutuba  yake ya ufunguzi wa Kongamano maalum la Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba leo katika ukumbi wa Skuli ya Fidel Casrto Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba
9
Washiriki wa Kongamano maalum la Wanachama wa CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk.Ali Mohamed Shein wakati akitoa  hutuba  yake ya ufunguzi lililofanyika leo  katika ukumbi wa Skuli ya Fidel Casrto Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba.
10
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na  Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai wakiwepo na Viongozi wengine baada ya kufungua Kongamano maalum la Wanachama wa CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba leo katika ukumbi wa Skuli ya Fidel Casrto Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,
11
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiagana Wanachama wa Chama cha Mapinduzi alipokuwa akiondoka katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba kurejea Unguja leo baada ya kufungua Kongamano maalum la Wanachama wa CCM wa Mikoa na wasomi wa Vyuo vikuu vya Pemba katika Skuli ya Fidel Castro Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba.

No comments:

Post a Comment