TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, January 25, 2015

SEKTA YA UMMA YAOMBWA KUIMALISHA UBUNIFU KWENYE SAYANSI HAI

 Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk. Hassan Mshinda (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam juzi, kwenye  semina ya siku mbili iliyohusu matumizi ya Sayansi na Teknolojia katika kuinua uchumi kupitia viwanda na uhifadhi wa mazingira na Sekta ya Umma kuimarisha ubunifu kwenye Sayansi hai.
 Mkurugenzi wa Sera na Utafiti Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI), akichangia mada katika semina hiyo iliyoandaliwa na  Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech). Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Costech, Dk.Hassan Mshinda.
 Profesa Tiisekwa Bendantungula kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA), akichangia mada.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Banana Envestment ya Arusha, Adolf Olomi, akizungumza na waandishi wa habari. Kampuni hiyo imefanikiwa kutumia maji taka yanayotoka katika kiwanda hicho na kuyatumia kwa matumizi mengine kupitia utafiti uliofanywa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
 Wadau mbalimbali wakiwa kwenye semina hiyo.
 Wanahabari wakiwa kwenye semina hiyo
Semina ikiendelea.
…………………………………………………………………………..
Dotto Mwaibale
UKUAJI wa Sekta ya Sayansi na Teknolojia umekuwa na mafanikio makubwa pamoja na msaada katika kuharakisha na kuboresha na urahisishaji wa kuleta maendeleo ya taifa kwa ujumla.
Hayo yal

No comments:

Post a Comment