TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, January 9, 2012

Serikali leo imetoa tamko la hatma ya wanafunzi waliofutiwa matokeo ya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi 2011,

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo,(kulia) akifafanua jambo kuhusu Tamko la Serikali juu ya Hatma ya Wanafunzi waliofutiwa Matokeo ya Mitihani ya Kumaliza Elimu ya Msingi mwaka 2011, kushoto ni  Kaimu Kamishina na Mkuu wa Idara ya Sekondari, Charles Philemoni, iliyofanyika makao makuu ya Wizara ya Elimu Dar es Salaam leo.(Picha na Shaaban Mpalule).

Serikali leo imetoa tamko la hatma ya wanafunzi waliofutiwa matokeo ya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi 2011, iliyofanyika makao makuu ya wizara ya Elimu Dar es Salaam leo, akizungumzia sakata hilo Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, amesema kuwa kati ya wanafunzi 983 545 ya waliofanya mitihani, 567,767 sawa na asilimia 58.28 wamefaulu mtihani huo, na kwamba kati ya wanafunzi 9,736 wamefutiwa matokeo kutokana na kubainika kufanya udanganyifu



No comments:

Post a Comment