TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, January 9, 2012

WHITE BAD THE KILLER -MBIONI KUKAMILIKA

Msanii wa Filamu za Kitanzania(Shabani Swarehe)maarufu kama SHABAX analotumia kwenye sanaa,(kulia), akiwa na msanii mwenzake (Zainabu Mohame) maarufu kama TINA, wakionyesha hali ya kutoelewana wakati wa Mazoezi ya Kundi hilo Lenye Makazi yake Tabata Liwiti, jijini Dar es Salaam leo.(Picha na Shaaban Mpalule).
Filamu ya kitanzania yenye Mandhali ya kutisha na yenye mauaji yanayosisimua, Jambazi mkubwa ambaye ni msanii wa maigizo ya kuchekesha(Comed), Pembe, na wengine chipukizi , Dulla Nguvu, Moko , Shabax ambaye ambaye ameigiza kama jini muua wenye kudhulumu, wenye kuua watu, mlipa kisasi mtetezi wa Watu, na wengine wengi.
akizungumzia Filamu hiyo msanii Shabax, amesema kuwa filamu hii ni nzuri, Baada ya kucheza filamu ya Maisha ya Damu ambayo iko sokoni muda mrefu, baada ya kucheza kama jambazi(Iddi), "kikubwa ndugu yangu mwandishi, ninawambia watu wakae mkao wa kupata madhali ya kusisimua kutokana na filamu hii kuwa bora na iliyoandaliwa kimataifa, ukilinganisha na filamu zingine zinazotolewa na wasanii wa hapa nchini Tanzania" alisema Shabax
hata hivyo baadhi ya watu ambao walikuwa awadhanii kama msanii mwenzao Shabax anaweza kuigiza kwa kiwango cha hali ya juu wameshangazwa kutokana na ushirikiano baina yake na Msaanii wa COMEDI,  Pembe kuwa wa hali ya juu.
Filamu hiyo ambayo imehekitiwa sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam, ikiwemo Maeneo  ya Tabata, Vingunguti, Segerea, Banana, imenakishiwa madhali ya kuvutia kitendo kinachoionyesha kana kwamba imeratibiwa na kuhekitiwa nje ya nchi.

No comments:

Post a Comment