TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, July 30, 2014

PALESTINA IPO TAYARI KUSITISHA MAPIGANO UKANDA WA GAZA NA ISRAEL.

Uharibifu uliofanywa Gaza kutokana na vita.

Uongozi wa Palestina umependekeza makubaliano ya saa ishirini na nne ya kusitisha mapigano dhidi yake na Israel.
  Yasser Abed Rabbo wa chama cha PLO, Palestine Liberation Organisation amesema mpango huo umeungwa mkono na makundi muhimu likiwemo kundi la Hamas na la Islamic Jihad.
Hata hivyo mmoja wa maafisa wa Hamas Abu Zuhri amesema taarifa hiyo ya PLO haiwakilishi upande wa Hamas.
Mapema pendekezo la makubaliano ya kusitisha mapigano lililotangazwa, halikuweza kutekelezwa kwa kuwa hakuna upande wowote ulioweza kulitekeleza kwa kusitisha mapigano katika eneo la Gaza.
Bwana Rabbo amesema ujumbe wa pamoja unaoongozwa na Rais wa Palestina Mahmoud Abbas utakwenda Cairo kuweka masharti ya kusitisha mapigano.

No comments:

Post a Comment