UTAFITI WA MALARIA KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA.
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia madini,
Prof. James Mdoe ( wa nne kutoka kulia) akisoma hotuba ya ufungaji wa
mkutano wa siku tatu uliokutanisha wataalam wa masuala ya jotoardhi
kutoka katika nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia,
Eritrea, Marekani, New Zealand na Djibouti kwa ajili ya kujadili taarifa
ya mtaalam mwelekezi kuhusu utafiti uliofanywa katika Ziwa Ngozi
lililopo mkoani Mbeya ambapo kuna viashiria vya jotoardhi pamoja na eneo
la Kibiro nchini Uganda.
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia madini,
Prof. James Mdoe (kushoto) akisisitiza jambo wakati alipokuwa akifunga
mkutano huo. Kulia ni Mjiolojia Mkuu kutoka Idara ya Nishati, Wizara ya
Nishati na Madini, Jacob Mayalla.
Sehemu
ya washiriki wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini hotuba ya ufungaji
iliyokuwa inatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
anayeshughulikia madini, Prof. James Mdoe (hayupo pichani)
No comments:
Post a Comment