TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, February 6, 2012

KITUO CHA UTAMADUNI CHA IRAN CHAFANYA MAADHIMISHO YA MAPINDUZI YA KIISLAMU NCHINI IRAN

Mkurugenzi mtendaji kituo cha utamaduni wa jamhuri ya kiislam Bw. Mortazar Sabour akiongea na waandishi wa habari kwenye maadhimisho miaka 33 ya mapinduzi ya kiislam ya yaliyotokea mwaka 1979 chini ya utawala wa Imamu Ayatolla Khomein yaliofanyika juzi katika kituo cha utamaduni cha Iran jijini Dar es salaam.
w Mortazar Sabour akisisitiza jambo kwenye maadhimisho hayo.
Baadhi ya waumini wa kiisilam wakiangalia picha za kumbukumbu za mapinduzi ya Iran katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya waumini wa kiisilam wakiangalia picha za kumbukumbu za mapinduzi ya Iran katika maadhimisho hayo.
Wanafunzi wa shule ya Darul Huda Islamic wakiimba wimbo wa Taifa kwenye maadhimisho hayo.

No comments:

Post a Comment