TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, February 6, 2012

PINDA AONGOZA SHEREHE ZA CCM IRINGA

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiongoza matembezi ya mshikamano ya kuadhimisha mika 35 ya CCM yaliyofanyika kimkoa katika kijiji cha Ifwagi wilayani Mufindi, Iringa Februari 5, 2012. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Iringa, Deo Sanga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wasanii wa Mufindi wakitumbuiza wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipohutubia mkutano wa hadhara katika maadhimisho ya miaka 35 ya CCM yaliyofanyika kimkoa kwenye kijiji cha Ifwagi wilayani Mufindi, Iringa, Februari 5, 2012.(Picha na Ofisi ya Waziri mkuu)
Wasanii wa Mufindi wakitumbuiza katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye kijiji cha Ifwagi wilayani Mufindi ambako Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alikuwa Mgeni rasmi katika maadimisho ya miaka 35 ya CCM yaliyofanyika kimkoa Februari 5, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment