TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, September 17, 2013

AIRTEL MONEY NDANI YA HUDUMA ZA KIBENKI

Posted: 16 Sep 2013 05:11 AM PDT


KAMPUNI ya Airtel Tanzania kupitiahuduma yakeya Airtel Money imean zishaushiri kiano na benki mbali mbali nchini na kuwawezesh awate jawakekuhamishap esaku toka kwenyebe nki akaun ti zao nakuziwek akwenyeakaunti ya Airtel Money,  Benk i ambazozi mein giakatikaushirikian ohuona Ai rtelnip amoja na BenkiyaPos tal ,BankiyaA frica, B enkiyaBia sharaya Kenya,Barc la ys,Akib a,Exim, Amana, Mkomb ozina StandardC hartered Bank.

Akizungumzia ushirikiano huo, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Mallya, a lisema kuanzishwa kwa mpango huo wa huduma ya Airtel Money na taasisi za kibenki kutawawe zesha wateja wa Airtel kutoa pesa kwenye akaunti zao za benki na kuziweka kwenye si mu zao yaani akaunti ya Airtel Money kirahisi bila kutembelea ofisi za benki.

Alisema huduma ya Airtel Money nisuluhisho la huduma za kifedha ikiwa na zaidi ya mawakala 20,0 00 kupitia mtandao wetu  mpana ulioenea nchi nzima tuna uhakika wakuwafikia watu wengi zaidi hasa wa maeneo ya vijijini.
"Tuna amini ushirikiano na benki zingine kutaendelea kuwaletea wateja wa huduma ya Airtel Money ufanisi na urahisi wa upatikanaji wafedha kutoka kwenye benki zao wakati wote mahali popote nchi nzima ," alisema.
Mallya, aliendelea kusema Airtel imedhamiria kutoa huduma za ki ubunifu kwa Watanzania kwani tunatambua teknolojia ya simu inazidi kukua na kuunganishawa tunakubadili maisha y a jamii.
Alisema huduma ya Airtel Money inatoa mwanya kwa makampuni,watoaji huduma za kitek nolojia inawezesha huduma za malipo na kukuza huduma za kifedha nchini.
Alibainisha kuwa Airtel imejipanga kutoa huduma za kifedha na kuiwezesha kuwa ya mafanikio.
A k i o n g e a k u h u s u ushirikiano meneja huduma wa Airtel Money, Asupya Nalingingwa alisema; “Tuna furaha kuingia kwenye makubaliano haya ya ushirikiano wa kutoa huduma za kifedha na benki hizi tofauti ambapo kwetu ni nafasi nzuri ya kuendelea kuboresha huduma za kifedha nchini na kuwafikia wateja wa benki hizi na wateja wa Airtel wasio nahudu ma yabe nkihizoma eneoyak arib uAirt el pia kupi tia AirtelM oneykwasasaimezindua promos heni mpyayaHakatwi mtuha pa inayow aw ezeshaw ate jawaAirt el kutumana kut oapesabilamakato y oyotepo pote pale nchini.

No comments:

Post a Comment