TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, May 18, 2012

NAPE: CCM NDICHO CHAMA PEKEE CHENYE DEMOKRASIA YA KWELI NCHINI


NA MWANDISHI WETU

CCM ndicho chama cha kisiasa chenye demokrasia ya kweli tofauti na vyama vya upinzani vinavyoonekana kujaa udikteta na hivyo kubaki kuwa kama vyama vya harakati tu.

Tofauti na CCM ambayo wanachama wake wana uhuru wa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, katika vyama vingine hawapati fursa hiyo kutokana na viongozi wake kuwajia juu wanachama wanapojitokeza kutaka kuwania nafasi za uongozi.

Hayo yamesemwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakati akifungua Mkutano wa Uchaguzi wa viongozi wa ngazi mbalimbali tawi la CCM, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya Chama mjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment