TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Saturday, May 19, 2012

VIRGINIA MOKIRI AIBUKA MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS HIGHER LEARNING DODOMA 2012 NDANI YA UKUMBI WA KILIMANI USIKU WA KUAMKIA LEO

Redds Miss Higher learning 2011 Jackline Kinabo (aliyekaa) ambae amemaliza muda wake akiwa tayari kumvalisha taji Mshindi wa Miss Redds Higher Learning 2012 katika ukumbi wa kilimani usiku wa kuamkia leo
Afisa Utamaduni Wa Manispaa ya  Dodoma Mh Kishosha akimkabidhi Zawadi Mshindi wa Kwanza wa Taji la Redds Miss Higher Learning Dodoma 2012 Virginia Mokiri Mara Baada ya Kuibuka Mshindi
Washiriki walioshiriki Katika Shindano la Kumsaka Kimwana Wa Redds Elimu Ya Juu Kanda ya Dodoma wakiwa katika Picha Ya Pamoja Kabla warembo walioingia Tano Bora Kutajwa
Warembo waliofanikiwa kuingia katika Hatua Ya Tano Bora wakiwa katika Picha ya Pamoja kama wanavyoonekana
Mshindi wa tatu wa taji la Redds Miss Higher Learning Dodoma 2012 Lilian Maleo akipokea zawadi ya King'amuzi kutoka Kampuni ya Star Time huku anayemkabidhi ni Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Dodoma
Washiriki wote wa Kuwania Taji la Miss Higher Learning Dodoma 2012 wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadhamini wa shindano hilo lililofanyika Katika Ukumbi wa Kilimani huku Virginia Mokiri Kuibuka MShindi wa Taji hilo.Picha Zote na Josephat Lukaza Wa http://josephatlukaza.blogspot.com
 Mshindi wa Taji la Redds Miss Higher Learning Dodoma 2012 Virginia Mokiri akiwa katika Picha ya Pamoja na Mmiliki wa mtandao wa LUKAZA BLOG, Josephat Lukaza Mara baada ya Kutangazwa mshindi katika kinyanganyiro cha Kuwania Taji la Redds Miss Higher Learning 2012 huku LUKAZA BLOG ikiwa mmoja kati ya Wadhamini wa Shindano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Kilimani usiku wa Kuamkia leo
Msanii wa Kizazi Kipya Barnaba Akitoa Burudani katika shindano La Kumsaka Mlimbwende wa Redds Elimu ya Juu Kanda ya Dodoma 2012 katika Ukumbi wa Kilimani Usiku wa Kuamkia leo
Afisa Utamaduni Wa Manispaa ya  Dodoma Mh Kishosha akimkabidhi Zawadi Mshindi wa Kwanza wa Taji la Redds Miss Higher Learning Dodoma 2012 Virginia Mokiri Mara Baada ya Kuibuka Mshindi

No comments:

Post a Comment