TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, November 26, 2013

AMKA WORKSHOP LEO MANGO GARDEN KINONDONI DAR ES SALAAM.

 Mkurugenzi wa Chief Promotion Amon Mkoga wa pili kulia, akifafanua jambo kuhusiana na Semina ya Wasanii inayofanyika leo kwenye ukumbi wa Mango Garden kinondoni jijini Dar es Salaam, ikihusisha wasanii mbalimbali kwa lengo la kujifunza haki miliki ya kazi zao. wengine ni wasanii wa kundi la MABAGA FRESH, Christopher Mwingira-aka DJ SNOX, na Jumanne Omary aka JB Mkuu wa Majaji, wa pili kushoto ni Mkuu wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari Mfuko wa Penshen wa PSPF, Matilda Nyallu.

 Mkurugenzi wa Chief Promotion Amon Mkoga wa pili kulia, akifafanua jambo
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia kwa makini Hafla hiyo,
Mkuu wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari Mfuko wa Penshen wa PSPF, Matilda Nyallu.akifafanua jambo kuhusiana na Semina ya Wasanii inayofanyika leo kwenye ukumbi wa Mango Garden kinondoni jijini Dar es Salaam, ikihusisha wasanii mbalimbali kwa lengo la kujifunza haki miliki ya kazi zao.

Wasanii wa kundi la MABAGA FRESH, Christopher Mwingira-aka DJ SNOX, na Jumanne Omary aka JB Mkuu wa Majaji,Wakifafanua jambo
 baadhi ya wandishi wa habari wakiuliza jambo
hapa wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari.(Picha kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment