TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, March 23, 2014

JE WANA SIMBA WANASEMAJE KUHUSU TIMU YAO?

Utawaweza Coastal Union leo?: Kocha wa Simba, Dravko Logarusic yupo katika wakati mgumu kuipatia mafanikio klabu hiyo msimu huu
…………………………………………………………………………
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
WEKUNDU wa Msimbazi Simba SC wakati wa maandalizi ya mchezo dhidi  Coastal Union ya jijini Tanga.
Wakiwa tayari wameshashuka dimbani mara 21 na kujikusanyia pointi 36 katika nafasi ya nne,  Simba chini ya kocha mkuu, Mcroatia, Dravko Logarusic katika mazingira magumu zaidi ya kupata matokeo ya ushindi.
Simba SC kama vile wameshajitoa katika mbio za ubingwa na kuwaachia Yanga, Azam na Mbeya city. 
Loga amekuwa na wakati mgumu tangu aanze kukinoa kikosi cha Simba mwanzoni mwa mzunguko wa pili akirithi mikoba ya Abdallah Kibadeni.
Kocha huyo anayesifika kudhibiti nidhamu kwa wachezaji, amekifanya kikosi cha Simba kuwa cha `tia maji tia maji.

No comments:

Post a Comment