TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, March 23, 2014

MAR 23 JE! NDANI YA MOYO WAKO UNAWAZA NINI KUHUSU WAKATI NA MAISHA YAKO KILA SIKU, NA BAADA YA KUFA NI WAPI UNATARAJIA KWENDA ?

Na: Kanisa la Kristo Tanzania
===========================

Miaka ya ivi karibuni maeneo ya kando kando mwa barabara nyingi za Dar es Salaam, zilikuwa zinatoa uvundo wa harufu mbaya kutokana na wakazi wa maeneo hayo kufanya Mitaro ya barabarani kuwa sehemu sahihi kwao kutupa taka, baada ya ujenzi wa Barabara kuanza inaonekana sasa wakazi wengi wa maeneo mwa barabara hawatakuwa na maeneo ya kutupa taka Ovyo, kama inavyoonekana kwenye picha baadhi ya Taka zikiwa katikati ya njia kuu ya Magari yaendayo kwa Kasi, ambayo ndiyo kwanza inaanza kukamilika baadhi ya maeneo mengine, je hali hii itaachwa hivi mpaka lini? na je hao wanaoweka taka hizo ni watu wa Taifa hili? au je ni Kondoo aliyepotea kama  vinavyosema vitabu vitakatif kwamba anahitaji kuokolewa? kinachonishangaza hapa ni jinsi gani wahusika wa maeneo hayo ambao ni wa ngazi za chini wasichukue hatua za mapemaili kukomesha kabisa Taiba hiyo, barabara hizi ambazo kwa mtazamo wangu si tu kwamba tunamshukuru na kumsifu Magufuli na Kikwete katika mwongo huu wa Utawala, kwa kuzijenga, kitakachobaki si chao maana hata wao wataondoka na kupita, Tanzania itaendelea kuwapo hata pasipi wewe na huyo, maana nchi ni mali ya Mungu naye ametupa tuikalie Vizazi na vizazi, je Unataka kuwa na Choyo ya Kuawaachia watu na jamaa wa vizazi vyako kitu chema? maana kamamtu jambo ndogo namna hiyo linaanza kuonekana hivyi je itakapokuwa kwa makubwa itakuwaje? maendeleo ya nchi yanapopatikana si kwa ajili yako, bali kwa ajili ya watu wa nchi waikaayo, je ni kwa nini wewe unapokuwa umepata fulsa ya kuwa mwakilishi katika kufanya ,kusimamia,na kupanga mipango yoyote ya maeneleo ya jamii, watu, na Nchi kwa ajili ya watu wako, unabadili nia baada ya kuwa wamekupa ridhaa hiyo, na kufanya upendavyo wewe kwa cheo chako, kwa faifa ya wewe na wana wako na wa jamaa zako, kwa uharibifu wa mali nyingi ambazo zingeweza kutoshereza sehemu na watu wengine kwa kuwa wewe umesimama kwa ajilia yao? na wewe unayefanya hivyo kwa kile kidogo wadhani kile kikubwa utabadilika  na kutenda vingine kwa ajili ya watu wengine? Utajili na Mali ulizonazo kaa fikilia tu, na kisha angalia jamii iliyopo maisha yao, unadhani wewe ndiye ungeambiwa sasa utaishi kama huyo jamaa pale, ungehesabu siku ngapi? kwa nini umeshindwa kuwa mwaminifu kwa ajili ya watu wako? kwa nini unasema uongo, unadanganya wakati wa kuzungumzia masuala ya maendeleo ya jamii? je unafikiri kuwa kwenye Uongo kuna Maendeleo ya Kweli? Mnakimbia kuchukua na kuomba nafasi za Uongozi si kwa kuwa mioyo yenu ndani yake kuna dhamira ya kweli, kumbuka hakuna dhambi ndogo na kubwa, dhambi ni dhambi na inakutafuna bila wewe kujua,wewe unayechochea kwa maneno ya Uwongo Hukumu yako ipo, na wewe unayedhulumu nafsi za watu hukumu yako ipo, jambo hili ni kweli, kati ya asilimia 70 za utekelezwaji wa ahadi za wewe uliyesema azikutimiwa zaidi ya asilimia 30 tu ukweli ndani yako.
continue @. www.baloziwademokrasiatanzania.blogspot.com

No comments:

Post a Comment