MAMA SALMA KIKWETE AKABIDHI SAMPULI ZA MADAWATI KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA MADARASA YA AWALI KATIKA MANISPAA YA LINDI MJINI.
Baadhi
ya wanafunzi wanaosoma Madarasa ya Awali katika Shule ya Msingi ya
Rahaleo wakiwa pamoja na walimu wao wakipiga makofi ikiwa ni ishara ya
kumpokea Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati anawasili shuleni hapo
tarehe 15.12.2014.
No comments:
Post a Comment