 Viongozi
 wa Shirika la Elimu, Sanyansi na Utamaduni duniani UNESCO  wakiwa na 
wenyeji wao wilayani Ngorongoro walipotembelea miradi inayofadhiliwa na 
shirika hilo wilayani humo(picha na Mahmoud Ahmad Ngorongoro)
Viongozi
 wa Shirika la Elimu, Sanyansi na Utamaduni duniani UNESCO  wakiwa na 
wenyeji wao wilayani Ngorongoro walipotembelea miradi inayofadhiliwa na 
shirika hilo wilayani humo(picha na Mahmoud Ahmad Ngorongoro) Wahab
 Coulibaly Kiongozi wa Unesco alievaa miwani na mgororore wakiwa kwenye 
hafla mojawapo katika matembezi ya ukaguaji wa miradi ya shirika hilo 
kwenye wilaya ya Ngorongoro
Wahab
 Coulibaly Kiongozi wa Unesco alievaa miwani na mgororore wakiwa kwenye 
hafla mojawapo katika matembezi ya ukaguaji wa miradi ya shirika hilo 
kwenye wilaya ya Ngorongoro Kijana
 wa jamii ya kifugaji akiwa anawajibika katika kuwapatia malisho mifugo 
kama alivyobambwa na kamera hii wilayani Ngorongoro hili ni mmoja ya 
sifa ya hifadhi ya mamlaka ya Ngorongoro kuona mifugo ikiwa na 
wanyamapori bila kuwa na msuguwano kila mmoja akitafuta mahitaji yake 
wakiwamo wakazi wa jamii hiyo ya kifugaji.
Kijana
 wa jamii ya kifugaji akiwa anawajibika katika kuwapatia malisho mifugo 
kama alivyobambwa na kamera hii wilayani Ngorongoro hili ni mmoja ya 
sifa ya hifadhi ya mamlaka ya Ngorongoro kuona mifugo ikiwa na 
wanyamapori bila kuwa na msuguwano kila mmoja akitafuta mahitaji yake 
wakiwamo wakazi wa jamii hiyo ya kifugaji. Wakazi wa kata ya Ololosokwan wakicheza pamoja na wageni wakati wa hafla hiyo ya kutembelea miradi ya UNESCO:
Wakazi wa kata ya Ololosokwan wakicheza pamoja na wageni wakati wa hafla hiyo ya kutembelea miradi ya UNESCO: Eneo
 la Kreta kama linavyoonekana nyakati za Asubuhi kama lilivyokutwa na 
kamera hifadhi ya ngorongoro huku watanzania wakitakiwa kupenda 
kutembelea vivutio hivi kukuza utalii wa ndani na kuipatia serikali 
mapato kwa maendeleo ya taifa
Eneo
 la Kreta kama linavyoonekana nyakati za Asubuhi kama lilivyokutwa na 
kamera hifadhi ya ngorongoro huku watanzania wakitakiwa kupenda 
kutembelea vivutio hivi kukuza utalii wa ndani na kuipatia serikali 
mapato kwa maendeleo ya taifa  Wakitoa
 masaada wa pikipiki kwa serikali katika kuahakikisha kituo hicho cha 
utafiti wa kisanyansi kinapata usafiri wa kufika maeneo mbali mbali kwa 
urahisi na kurahisisha majukumu yao ya kila siku ya utafiti.
Wakitoa
 masaada wa pikipiki kwa serikali katika kuahakikisha kituo hicho cha 
utafiti wa kisanyansi kinapata usafiri wa kufika maeneo mbali mbali kwa 
urahisi na kurahisisha majukumu yao ya kila siku ya utafiti. 
 
 
 
 
 
 

 
No comments:
Post a Comment