VIONGOZI WA UNESCO WALIPOTEMBELEA MIRADI NGORONGORO
Kijana
wa jamii ya kifugaji akiwa anawajibika katika kuwapatia malisho mifugo
kama alivyobambwa na kamera hii wilayani Ngorongoro hili ni mmoja ya
sifa ya hifadhi ya mamlaka ya Ngorongoro kuona mifugo ikiwa na
wanyamapori bila kuwa na msuguwano kila mmoja akitafuta mahitaji yake
wakiwamo wakazi wa jamii hiyo ya kifugaji.
Wakazi wa kata ya Ololosokwan wakicheza pamoja na wageni wakati wa hafla hiyo ya kutembelea miradi ya UNESCO:
No comments:
Post a Comment