TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, May 19, 2016

KASTICO: ASIKITISHWA NA VIFO VYA WATOTO WAWILI TOMONDO UZI ZANZIBAR.











 
==============================================

DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 3 KUTUMIKA KUANZISHA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA.










 
============================================

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MABALOZI MBALIMBALI PAMOJA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

========================================================

VIWANDA VIPYA KUJENGWA ILI KUKABILIANA UPUNGUFU WA SUKARI.










 
===================================================

WAKONGWE WA TASNIA YA HABARI WAKUTANA NA KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel (kushoto) akisikiliza kwa makini maelezo kuhusu sekta ya habari kutoka kwa Mratibu wa Mfuko wa Hugo Van Lawick Van Lawick Ali Chimbyangu ambaye pia ni mwandishi mkongwe aliye fanya kazi katika vyombo yva RTD, Daily News na African Juornal, Charles Simpungwe (wapili kulia) wakati wa kikao baina yake na wahabari hao leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni  Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari George Msonde, mwandishi mkongwe Charles Simpungwe na Katibu Mtendaji wa Mfuko wa Hugo Van Lawick ambaye pia ni mstaafu wa Idara ya Habari -Maelezo, Willie Mbunga.

WALIMBWENDE MISS ARUSHA WAJINOA VIKALI,WAAHIDI KULITETE TAJI LA MISS TANZANIA 2016

  
Baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la kumsaka mlibwende wa mkoa wa Arusha wakiwa katika pozi
warembo hao wakiwa wanacheza hii ikiwa ni moja ya mazoezi yao wanayoyafanya ndani ya ukumbi wa hoteli Naura Spring Arusha ambapo wameweka kambi
Kusimamishwa kwa shindano la umrembo Tanzania (Miss Tanzania ) kwa mwaka mmoja imekuwa ni changamoto kubwa kwa waandaaji wa shindano hilo, kwani warembo wengi wamesahau mambo kibao ndani ya mashindano hayo pia kueleza kuwa shindano hilo limepoteza umaarufu wake.

Hayo yamebainishwa na muaandaaji wa shindano la kumsaka mrembo wa mkoa wa Arusha kutoka katika kampuni ya Tour Visual Entertainment, Penda Simwita wakati akiongea na mwaandishi wa habari jana katika kambi ya kumuandaa Miss Arusha.

Alisema kuwa kwa upande wake shindano hilo limekuwa gumu kidogo, kwani warembo wengi walibweteka na kujisahau kuwa kuna shindano kama hili kwa mwaka huu, hivyo ilimlazimu kutembelea katika vyuo mbalimbali vya hapa mkoani Arusha kwa ajili ya kuwasaka warembo watakaoshiriki shindano hili.

"Pamoja na kuwatafuta,tumefaniwa kuwapata warembo wazuri wenye sifa na naamini wataweza kutetea taji la Miss Tanzania,kwani wana uwezo na kizuri zaidi najiamini naweza kuwaandaa maana hata mrembo ambaye anashikilia taji sasa hivi alitoka mkoa wa Arusha" alisema Mwandaaji huyo.

Mmoja wa warembo wanaoshiriki shindano hilo ,Maurine Ayubu alieleza hisia zake za kufurahi kushiriki shindano hilo,alisema kuwa ana uwezo wa kufanya vizuri,na kwamba ana uhakika wa kufanya vyema kwa sababu sifa zote za kuwa mrembo wa Mkoa wa Arusha anazo na kwamba anaamini atatetea taji la Miss Tanzania libaki Arusha kama linavyoshikiliwa kwa sasa na mrembo wa Tanzania Lilian kamazima

Jumla ya warembo 17 kutoka katika mitaa mbalimbali na wilaya mkoani hapa wanatarajiwa kupanda jukwaani mapema May 28 mwaka huu katika ukumbi wa Hotel ya Naura Spring kwa ajili ya kumsaka mlibwende wa mkoa wa Arusha ambaye atawakilisha mkoa katika kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo wa Tanzania na tukumbuke mpaka hivi sasa taji hilo la mrembo wa Tanzania linashikiliwa na mrembo kutoka mkoa wa Arusha Lilian Kamazima
 
========================================================

MeTL Group yatoa msaada wa Mil. 30.7 kwa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili

 






SARUJI YA WAASHI TEMBO FUNDI YAZINDULIWA LEO.

 

 
==============================================

UTT-PID yaiwezesha Manispaa ya Lindi kuvuna Bilioni 2 katika mradi wa viwanja

WATU WATATU WAUWAWA NA MMOJA KUJERUHIWA JIJINI MWANZA.


MNAMO TAREHE 18.05.2016 MAJIRA YA SAA 20:30HRS KATIKA MSIKITI WA MASJID RAHMAN ULIOPO IBANDA RELINI MTAA WA UTEMINI @ MAPANKINI KATA YA MKOLANI WILAYA YA NYAMAGANA JIJI NA MKOA WA MWANZA. WATU WASIOZIDI 15 WAKIWA WAMEVALIA MAVAZI YA KUFICHA USO WAKIWA NA MAPANGA, SHOKA NA BENDERA NYEUSI YENYE MAANDISHI MEUPE WALIINGIA GHAFLA KATIKA MSIKITI TAJWA HAPO JUU WAKATI WAUMINI WA MSIKITI HUO WAKIWA WANASWALI NA KUZIMA TAA NA KUTOA SAUTI WAKISEMA “KWA NINI MNASWALI WAKATI WENZETU WAMEKAMATWA NA WANASHIKILIWA NA POLISI ?” NA HAPO HAPO WAKAANZA KUWAKATA KWA MAPANGA BAADHI YA WAUMINI KATIKA SEHEMU MBALIMBALI ZA MIILI YAO. WALIPATA MAJERAHA MAKUBWA KICHWANI, SHINGONI NA MIKONONI NA WALIPOTEZA MAISHA YAO PAPO HAPO NA MMOJA KUPATA MAJERAHA SEHEMU ZA KICHWANI NA KUKIMBIZWA HOSPITALI YA WILAYA YA NYAMAGANA (BUTIMBA). 

 
=============================================

KAMPUNI YA WIA GROUP YAKABIDHI PIKIPIKI TATU KWA SERIKALI YA MTAA WA OYSTERBAY JIJINI DAR LEO.

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI, DODOMA.

 
MPALULEBLOGS:

No comments:

Post a Comment