TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, May 15, 2016

VIONGOZI WA CCM WAASWA KUCHAGUA VIONGOZI MAKINI NA IMARA.

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Ujumbe Viongozi wa CCM Tawi la Makangira Kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mjini Dar es salaam katika Banadari ya Malindi baada ya kumaliza ziara yao ya ujirani mwema Visiwani Zanzibar wakiwa wenyeji wa Tawi la CCM Vikokotoni Mjini Zanzibar.










DAWASCO KUGHARAMIA GHARAMA ZA UUNGANISHAJI KWA WATEJA WAPYA.


Mhandisi Cyprian Luhemeja. 





UANACHAMA WA TFF KATIKA FIFA UPO-NAPE.








GGM YAKUBALI KUTOA MAGWANGALA.











Benki ya Exim yatangaza kupata ongezeko la faida ya asilimia 67











MAJALIWA AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA UMEME WA GESI TOKA JAPAN

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na  Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya  KOYO ya Japan, Bw.  Norio Shoji  baada ya kukutana na Mtendaji huyo na ujumbe wake ofisini kwake jijini Dar es salaam May 9, 2016. Kampuni hiyo ikishirikiana na Kampuni ya Kitanzania ya SSF Limited inakusudia kuwekeza  kwenye miundombinu ya umeme wa gesi asilia na jua nchini. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu) .















DAR KUONGEZA MADAMPO KUKABILIANA NA UCHAFU JIJINI


Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam limeazimia kuongeza idadi ya madampo na kurekebisha miundombinu ya dampo la Pugu ili kuhakikisha jiji linakuwa safi.

Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Isaya Mwita alisema Baraza hilo limeazimia kuongeza na kurekebisha miundombinu baada ya ziara walioifanya na kugundua mapungufu katika dampo la Pugu.

“Tumegundua kuna udhaifu mkubwa katika dampo la Pugu, magari yanayopeleka taka yananasa barabarani hivyo tukaona kuna sababu ya kutengeneza miundombinu, hivyo tumetenga milioni 700 kwenye bajeti hii ili kutengeneza barabara hiyo,”alisema Mhe. Mwita.

Aidha, alisema kwamba baraza limetenga kiasi cha shilingi milioni 200 katika bajeti ya 2016/17 ili kununua eneo Mkuranga kwa ajili ya dampo, huku wakiendelea na mchakato wa kuongeza madampo mengine Kigamboni na Kisarawe ili kuhakikisha taka zote zinazozalishwa ndani ya jiji la Dar es Salaam zinapelekwa kwenye madampo badala ya kuzagaa mitaani.

Kwa upande wake, Naibu Meya wa jiji la Dar es Salaam Mhe. Mussa Kafana alisema kuwa, suluhisho la kumaliza taizo la uchafu si kuwa na dampo tu bali ni kuwepo kwa vifaa maalumu vya kuhifadhi taka. Hivyo baraza likaamua kuwepo na vyombo vya kuhifadhia taka katika mitaa yote ya jiji la Dar es Salaam ili kudhibiti uzagaaji wa taka.

Usafi ni moja ya kipaumbele cha Rais wa Awamu ya Tano Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambapo kwa mara ya kwanza alitangaza siku ya Uhuru wa Tanzania (Tisa Desemba) iazimishwe kwa kufanya usafi nchi nzima ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo Kipindupindu pamoja na kuiweka Tanzania katika hali ya usafi.

SHAKA: KIKWETE AMEITUMIKIA NCHI HII KWA UWEZO WAKE,BASI MEMA YAKE YAHESHIMIWE




MAPITIO YA HOJA MBALIMBALI ZA WABUNGE MJINI DODOMA.

KONGAMANO LA JESHI LA POLISI (MEDICAL WING) LA KUJIPIMA UTENDAJI KAZI NA CHANGAMOTO LAFANYIKA MJINI TABORA

NAIBU WAZIRI ANGELINA MABULA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA NHC

TUKIO LA RAIS DKT MAGUFULI KUZINDUA MAJENGO YA KITEGA UCHUMI YA HIFADHI YA JAMII PPF NA NSSF

No comments:

Post a Comment