TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, May 15, 2016

MKUTANO WA WAZIRI UMMY MWALIMU ALIPOHUDHURIA MKUTANO WA VIONGOZI WANAWAKE KUHUS MASUALA YA AFYA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Wajumbe wa Mkutano wa Viongozi Wanawake katika masuala ya Afya katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es Salaam 5 Mei, 2016.











SHIRIKA LA NDEGE LA NCHINI MAURITIUS LAZINDUA SAFARI ZA NDEGE ZA MAURITIUS KUJA DAR ES SALAAM.

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA DKT. ASHA-ROSE MIGIRO KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI UINGEREZA









BENKI ya Rasilimali nchini (TIB) yatangaza mikopo yenye masharti nafuu kwa wakandarasi wazawa.

TIB Corporate Bank imesema imekusudia kuwawezesha kifedha wakandarasi wa ndani ili waweze kutekeleza vema majukumu yao ya kikandarasi.

Akizungumza wakati wa mkutano wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi nchini (CRB) uliofanyika jijini Mwanza, Mkuu wa Kitengo cha Mauzo ya Mikopo wa Benki ya TIB, Theresia Soka amesema benki yake imekuja na suluhisho la kutatua changamoto za wakandarasi wazawa.

TIB Corporate Bank imemua kurahisisha taratibu zake za kutoa mikopo kwa wakandarasi wa ndani kwa kuwataka kuwasilisha vielelezo tu vinavyomtambulisha kuwa amesajiliwa kisheria ili aweze kupata mkopo. ‘Tumeamua kurahisisha utaratibu wetu wa utoaji mikopo ili kuwawezesha wakandarasi na hivyo kuchangia ukuaji wa maendeleo nchini katika sekta hii muhimu ya ujenzi’ alisema Bi Soka.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa TIB Corporate Bahati Minja, alisema benki hiyo inayomilikiwa na Serikali, imeboresha huduma zake za kibenki ili kuwawezesha wakandarasi wazawa. ‘Lengo kubwa la Benki ya TIB Corporate ni kuhakikisha wakandarasi wanawezeshwa kifedha ili wawe na vitendeakazi vya ujezi’ alisema Bi Soka.

Hata hivyo wakandarasi waliohudhuria mkutano huo ambao miongoni mwao wamefadhiliwa na benki hiyo, waliupongeza uongozi wa Benki ya TIB Corporate kwa kuamua kuwawezesha kwa mikopo ya kikandarasi. Wakandarasi hao walisema uwezeshwaji huo wa mikopo nafuu inayotolewa na benki hiyo, itawasaidia kuendesha kampuni zao za ujenzi kwa ufanisi zaidi.

Mkutano huo wawakandarasi wenye kauli mbiu ya ‘Kuwajengea Uwezo Wakandarasi wa Ndani kwa ajili ya Uchumi Endelevu', utafuatiwa na mkutano mwingine utakaofanyika jijini Dar es salaam katika ukumbi wa Daimond Jubilee kuanzia tarehe 26 hadi 27 mwezi huu wa tano.

TIB Corporate Bank imefanya mabadiliko ya kitaasisi ili kuweza kuwa kituo cha huduma zote za kibenki kwa kushughulikia mahitaji ya wawekezaji wa ndani kwa lengo la kusukuma maendeleo ya 
Uchumi Endelevu: Changamoto na Mipango ya baadae’.

MAJALIWA:WANAVYUO WAFUATE TARATIBU NA SHERIA ZILIZOPO VYUONI










RITA yaanza kukusanya ada za Usajili kwa njia ya kielekroniki.













CCM YAKANUSHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA KWA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KUKUHUS KUKABIDHIANA KIJITI CHA UENYEKITI.














MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA,




05/05/2016

NJIA YA KIELETRONIKI YAANZA KUTUMIKA KUKUSANYA ADA ZA USAJILI.












PWANI: WIVU WA KIMAPENZI WASABABISHA KIFO KWA MAMA NA MTOTO








Wakazi wa Ilala wahakikishiwa usalama









UVCCM KULA SAHANI MOJA NA WALIOFUJA MALI ZAO








NHIF yazindua huduma Toto Afya Kadi







IFIKAPO 2030 WAKAZI WA DAR KUWA MILIONI 10.







ZIFF 2016 Announces Film Selection with Strong East African Presence











JK AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI WA GATES FOUNDATION YA MAREKANI

No comments:

Post a Comment