TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Friday, May 20, 2016

WATUMISHI SABA WACHUNGUZWA HALMASHAURI YA KARATU.







Kwa maelezo ya baraza la madiwani limeomba wizara inayohusika kwa mkutugenzi huyo imuwajibishwe kwa kuisababishia Halmashauri hasara ya milioni 800 na kushindwa kuwasimamia watumishi wake na huku miradi ya kilimo na Afya ikiathirika.
Naye Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Moses Mabula amesema kuwa alipohamia katika, Halmashauri ya Karatu mwaka 2013 alikuta zimetumi zaidi ya milioni 200 pia ameongeza kuwa Halmashauri iliazima fedha kwaajili yakutekeleza miradi ya dharura,kati ya miradi hiyo ni pamoja na ukarabati wa stendi kuu ya Karatu,Zahanati ya Ayalabe iliyoungua moto,Ujenzi wa.madarasa 4 katika.shule ya msingi Ayalabe ili kupisha chuo ,ukamilishaji wa mitaro katika jengo la.halmashauri,ujenzi wa mahabara Endara na Mang'ola,Ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Manusway,Ukamilishaji wa hostel ya wasichana katika shule ya sekondari Kansay .
Hata hivyo Moses Mabula amesema kuwa fedha zote ziliripotiwa katika baraza lililopita la madiwani 2015,pia amesema.ameyapokea.malalamiko yote na atawajibu baraza namna fedha zilivyotumika.
=============================================

WATUMISHI SABA WASIMAMISHWA KAZI HALMASHAURI YA KARATU ,KUPISHA UCHUNGUZI

 









PIGA *113# AU TUMA SMS KWENDA 113 KUPAMBANA NA RUSHWA IFIKAPO MEI 24,2016.


No comments:

Post a Comment