

Ujenzi wa daraja
hilo umehusisha nguzo mbili za pembezoni na mihimili miwili inayoshikilia nyaya
36, na daraja zima lina urefu wa meta 680, upana wa mita 32, njia sita za
magari, njia mbili za watembea kwa miguu na barabara unganishi zenye urefu wa
kilometa 2.5.
No comments:
Post a Comment