TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, February 5, 2014

KINANA AKISAKA TASWIRA YA RAIS JAKAYA KIKWETE NA MABLOGGER MARA BAADA YA MAADHIMISHO.

Rais Dr. Jakaya Kikwete akipiga picha na Bloggers  walioshiriki kuripoti matukio ya maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM yaliyofanyika jijini  Mbeya mara baada ya kumalizika kwa maadhimisho hayo, Picha hii imepigwa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana kama anavyoonekana akiitafuta taswira hiyo,  kulia ni Ahmed Michuzi wa Jiachie Blog, John Bukuku wa Fullshangweblog.com na kutoka kulia ni Bashir Nkoromo wa The Nkoromo Blog na Richard Mwaikenda wa Blog ya Kamanda wa Matukio Blogger na Adam Mzee wa CCM Blog aliyechuchumaa chini katikati hawa ndiyo waliokuwa wakiripoti matukio ya maadhimisho ya miaka 37 ya CCM mkoani Mbeya IMG_1084(1) 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana kama anavyoonekana akiitafuta taswira ya Mablogger wakati wakipiga picha na Rais Dr. Jakaya Kikwete.

No comments:

Post a Comment