TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, February 5, 2014

NGUMI ZA NELSON MANDELA OPEN CHAMPIONSHIP ZAFUNGULIWA KAWE

Bondia Fabian Gaudence kushoto akipambana na Hussein Mnimbo  wakati wa mashindano ya wazi ya Nelson Mandela  yabayofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam Gaudence alishinda mpambano huo kwa pointi

Bondia Rashidi Samvu kutoka Kigoma  kushoto  akimtupia makonde Hafidhi Kassimu wa Ngome
wakati wa mashindano ya wazi ya Nelson Mandela  yaofanyika katika
Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam
 

 

Bondia Part Kimweri kutoka Tanga  kushoto  akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Saidi Jabir wa Ngome Dar
wakati wa mashindano ya wazi ya Nelson Mandela  yaofanyika katika
Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam Kimweri alishinda mpambano huo kwa pointi

Baadhi ya viongozi wakifuatilia mashindano hayo
Mkeni wa heshima katikati Diwani wa Kata ya Kawe Othumani Kipete akiwa na viongozi wa Shilikisho la mchezo wa ngumi za Ridhaa nchini kulia ni Rais wa shilikisho hilo Mutta Rwakatare  makamu wa rais Lukelo Willilo na
Mjumbe wa maendeleo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis
MAREFARII MABONDIA NA VIONGOZI WAKISUBILI KUFUNGULIWA KWA MASHINDANO HAYO
Nwa BFT Antony Mwangonda akiwa na makamu wa Rais Lukelo Willilo
…………………………………………………………..
Na Mwandishi Wetu

MASHINDANO ya mchezo wa Ngumi yanayokwenda kwa jina la Nelson Mandela Open Championship  yameanza kutimua vumbi katika

Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam


akizungumzia mashindano hayo yalivyo na ubora wa hali ya juu Makamu wa Rais wa Shirikisho la ngumi za Ridhaa nchini ‘BFT’ Lukelo Willilo ‘amesema mashindano hayo kwa sasa yameboreshwa kwa kufuata taratibu za chama cha ngumi za ridhaa Dunia kwa sasa mabondia hawavai kofia ngumu wanakuwa vichwa wazi hivyo wapenzi wa ngumi weje waone mabadiliko makubwa katika ngumi za ridhaa ndio ambazo ni msingi wa maendeleo ya mchezo wa masumbwi nchini;’


Zamani mabondia walikuwa wanavaa kofia lakini kutokana na mabadiliko sasa hawavai kofia wanapigana vichwa wazi  ambapo kwa kuanzia tumeamua kuweka mashindano haya kwenye viwanja vya wazi na ni bure tu hakuna kingilio ili kila mtu ajionee mabadiliko ya ngumi mashindano hayo ambayo yanahusisha mikoa mbalimbali nchini


Mashindano haya yatakuwa ya siku tano kuanzia jumatano mpaka jumapili na ngumi zinaanza kupigwa saa kumi na moja mpaka saa mbili usiku michezo ndiyo itakuwa ikiisha


Katika ufunguzi huo bondia Patrck Kimweri wa Tanga alishindwa kufurukuta mbele ya Said Jabir wa ngome na Rashidi Samvu wa Kigoma alipigwa kwa pointi na Hafidhi Kassimu wakati Fabian Gaudence 
akimsambalatisha Hussein Mnimbo

No comments:

Post a Comment