Kamanda
wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova (wa tatu toka
kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Askari wa usalama barabarani,
Moses Alphage (wa pili kushoto) aliyeibuka kidedea kwenye programu ya
kuhamasisha na kupongeza utendaji kazi wa askari wa usalama barabarani
jijini Dar es salaam iliyonedeshwa na kituo hicho cha Redio na
kujishindia Sh milioni 2. Wa kwanza kushoto ni Mfanyakazi wa Vodacom
Tanzania Albert Maneno na kulia ni mtangazaji wa Clouds Said Mohamed
maarufu Bonge. |
No comments:
Post a Comment