TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, December 30, 2013

TAMASHA LA KRISMAS JIJINI ARUSHA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI WAFANYA KWELI

Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiimba na kucheza jukwaani wakati wa tamasha la Krismas lililofanyika leo kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi wa jiji hilo, ambapo waimbaji mbalimbali wamepanda jukwaani na kukonga nyoyo za mashabiki wao wakiwemo Bony Mwaitege, Upendo Nkone, Upendo Kilahiro, Edson Mwasabwite, Tumaini Njole, The Voices, Victoria Singerls, mwimbaji wa kimataifa wa muziki wa injili kutoka nchini Zambia Ephraim Sekereti na wengine wengi. 3 
Watoto mbalimbali wakicheza na mwimbaji Rose Muhando jukwaani. 4 
Rose Muhando akiimbisha mashabiki wake. 5 
Mwimbaji Tumaini Njole akifanya vitu vyake jukwaani. 6 
Mwimbaji Wema kutoka Arusha akiimba jukwaani 7 
Upendo Kilahiro kushoto na Upendo Nkone wakiimba jukwaani kwa pamoja. 8 
Mwimbaji Bony Mwaitege akiruka jukwaani wakati alipokuwa akiimba. 10 
Baadhi ya mashabiki wa muziki wa injili waliojitokeza katika tamasha hilo. 13 
Askofu mkuu wa makanisa ya Calvary Asemblies of God , Dunstan Maboya akitoa neno katika tamasha la Krismas  kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid leo huku akiwa ameambatana na mchungaji mwenzake, kushoto ni Alex Msama Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion 15 
wimbaji wa kimataifa wa muziki wa injili kutoka nchini Zambia Ephraim Sekereti akifanya vitu vyake jukwaani katika tamasha la Krismas jijini Arusha leo. 
 18 
Kundi la The Voices likifanya vitu vyake jukwaani.

No comments:

Post a Comment