wa Dua Maalum ya kuiyombea Zanzibar kwenye mkesha wa mwaka mpya Allen 
Mbaga kutoka kanisa la Tanzania fellowship of churches (TFC) aliesimama 
kulia akiwatambulisha wachungaji waliofika nyumbani kwa Rais mstaafu wa 
Zanzibar Dkt Salmin Amour Juma kwa lengo la kumtembele na kumuomea huko 
Migombani nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 
 
Rais
 mstaafu wa Zanzibar Dkt. Salmin Amour Juma wakuli alievaa kofia akiwapa
 historia ya Bara la Afrika kabla ya ukombozi wachungaji wa Zanzibar 
walipofika nyumbani kwake kumtembele jana huko nyumbani kwake Migombani 
nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 
 
Wachungaji
 wakiongozwa na Askofu Fabian Obedi kutoka kanisa la Sentekoste Zanzibar
 wa tatu kushoto wakimuaga Rais mstaafu wa Zanzibar Dkt. Salmin Amour 
Juma mara baada ya kumaliza kumuombea nyumbani kwake Migombani Zanzibar 
Dec 31/2013.
(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

No comments:
Post a Comment