TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, January 2, 2014

DK.Shein aongoza Matembezi ya Bonanza la Vikundi vya mazoezi ya Viungo!!

TA1A5708  
Kikundi cha Barssband cha Mafunzo kikiwa mbele ya Matembezi ya Bonanza la 5 la Vikundi vya Mazoezi ya Viungo,yanayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,na viongozi mbali mbali wakishiriki,matembezi  hayo yameanzia Uwanja wa Kisonge,hadi uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]TA1A5718  
Wanavikundi vya mazoezi ya Viungo wa Zone A,wakiwa katika  Matembezi ya Bonanza la 5,yanayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,na viongozi mbali mbali wakishiriki,matembezi  hayo yaliyoanzia Uwanja wa Kisonge,na kumalizia  Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]TA1A5759 
Kikundi cha Mchezo wa Judo,wakiwa katika Matembezi ya Bonanza la 5,yanayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,na viongozi mbali mbali wakishiriki,matembezi  hayo yaliyoanzia Uwanja wa Kisonge,na kumalizia  Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]TA1A5795 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,(katikati) na viongozi mbali mbali walioshiriki,Matembezi  ya Bonanza la 5 la Vikundi vya Mazoezi ya Viungo,  yaliyoanzia Uwanja wa Kisonge,hadi uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
TA1A5823  
Wazee wa Mchezo wa Bao la kete,wakipita mbele ya Jukwaa la Uwanja wa Amaan,wakitoa heshma kwa mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,katika Bonanza la 5 la vikundi vya mazoezi ya Viungo,lililofanyika leo,Wilaya ya Mjini  Unguja,katika shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar,.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
 TA1A5828 
Watu wenye ulemavu wa Miguu,wanotumia baskeli za maringi wakipita kutoa heshma kwa mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,katika Bonanza la 5 la vikundi vya mazoezi ya Viungo,lililofanyika leo,Wilaya ya Mjini Unguja,katika shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar,.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
TA1A6211  
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Wanamichezo wa Vikundi vya Mazoezi ya Viungo katika Bonanza la 5,Vikundi vya mazoezi ya Viungo,lililofanyika katika Uwanja wa Amaan,Wilaya ya Mjini Unguja,katika shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]TA1A6321 
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,akionesha Cheti alichokabidhiwa na Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Said Ali Mbarouk,  katika Bonanza la 5,lililofanyika katika Uwanja wa Amaan,Wilaya ya Mjini Unguja,katika shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment