TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, January 2, 2014

MAISHA PLUS/MAMA SHUJAA WA CHAKULA

Haya sasa… Mchakato wa Kupata Washiriki 30 wa Maisha Plus
Na washiriki 10 wa Mama Shujaa wa Chakula , 2014 Umeanza!
Fomu zinapatikana:
IRINGA – EBONY FM 87.8
SONGEA- JOGOO FM 93.0
SHINYANGA- FARAJA FM 21.3
ZANZIBAR – ZENJI FM 96.8
MOROGORO- ABOOD RADIO 89.7
MWANZA- PASSION FM 99.9
MTWARA- PRIDE FM 87.8
BUKOBA- RADIO VISION 98.0FM
MBEYA- BOMBA FM 104.0
TABORA- CG FM 89.5
DODOMA – IMPACT FM 94.4
ARUSHA- RADIO 5 104.5
Pamoja na ofisi  zifuatazo: ….. ACTIONAID,ADGL KIVULINI, CONCERN, COWEA, CVM/APA, KICKSTAR-Money Maker, LBTIC, INADES FORMATION, NORWEGIAN CHURCH AID, OXFAM, SHDEPHA+, RISE TANZANIA,TREE OF HOPE, SASA Foundation, PWC, UZIKWASA, ADP Mbozi, VSO Tanzania, WOPATA, WOWAP, WOMEN PARALEGALS, KAWOCONET, MZALENDO PUB kwa Dar es Salaam.
Nani Anapaswa kuchukuwa Fomu:
Mama Shujaa:  Wakina Mama na wasichana Wakulima na Wafugaji, kuanzia miaka 18 na kuendelea
Maisha Plus:  Vijana, wasichana na wavulana kuanzia umri wa miaka 21 mpaka 26
fomu hizi zinaweza kujazwa moja kwa moja kupitia tovuti yetu ya www.maishaplus.tv na kupitia Facebook.com/MaishaPlus
Mwisho wa kurudisha Fomu ni: Tarehe 24 Mwezi wa Kwanza 2014
Mwaka huu kutakuwa na washiriki Maisha Plus kutoka Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya pamoja na Tanzania.
Wahi kuchukua fomu yako sasa ujishindie Mamilioni ya Pesa.  
MAISHA PLUS/MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014

No comments:

Post a Comment