TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, August 25, 2014

MAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA MAMA GRACA MACHEL KWENYE OFISI ZA WAMA

IMG_9239
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mgeni wake Mama Graca Machel na wajumbe wawili wa Bodi ya WAMA. Wajumbe hao ni Mheshimiwa Sophia Simba,Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (kulia) na Mama Hulda Kibacha (wa kwanza kushoto).
IMG_9252
Mama Garaca Machel akiweka saini kitabu cha wageni wakati alipotembelea ofisi za WAMA tarehe 25.8.2014.
IMG_9283
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya WAMA akimkabidhi zawadi ya picha mgeni wake Mama Graca Machel aliyemtembelea ofisini kwake tarehe 25.8.2014.
IMG_9326
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete akifanya mazungumzo na Mgeni wake Mama Graca Machel kwenye ofisi za Taasisi hiyo zilizoko karibu na Ikulu.
IMG_9344
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi baadhi ya majarida yanayochapishwa na Taasisi ya WAMA kwa Mgeni wake Mama Graca Machel.
IMG_9354
Picha ya pamoja kati ya Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na wafanyakazi wa Taasissi ya WAMA na Mama Graca Machel na ujumbe wake mara baada ya kufanya mgeni uyo kutembelea ofisi hiyo tarehe 25.8.2014.
IMG_9369
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimwaga Mgeni wake Mama Graca Machel wakati akiondoka kwenye ofisi ya WAMA baada ya viongozi hao kufanya mazungumzo.
IMG_9220
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpokea Mama Graca Machel aliyemtembelea kwenye ofisi za WAMA tarehe 25.8.2014.
IMG_9235
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na mgeni wake Mama Graca Machel wanaonekana wakifurahia jambo kabla ya kupiga picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya WAMA.

IMG_9379
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kuagana na Mgeni wake Mama Graca Machel nje ya ofisi za WAMA tarehe 25.8.2014.
 PICHA NA JOHN  LUKUWI.

No comments:

Post a Comment