TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, August 27, 2014

Serikali yapokea gari na pikipiki kukabiliana na ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma nchini

   Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akipokea ufunguo wa moja ya gari kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) ikiwa ni ishara ya kukabidhi msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 leo jijini Dar es salaam.
    Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi akiwasha moja ya kati ya magari manne  aliyoyapokea kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA la Ujerumani nchini Burchard Rwamtoga leo jijini Dar es salaam.
  Mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) akimkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) ufunguo wa moja kati ya pikipiki 20 zilizotolewa na shirika la hilo leo jijini Dar es salaam.
   Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akimkabidhi Mratibu wa huduma za kifua kikuu na ukoma mkoa wa Kigoma Dkt. Deus Leonard (kushoto) moja kati ya magari manne  yaliyokabidhiwa kwa Serikali kutoka kwa  shirika la GLRA la Ujerumani nchini leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akisalimiana na Mratibu wa huduma za kifua kikuu na ukoma mkoa wa Ilala baada ya mkabidhi moja kati ya magari manne  yaliyokabidhiwa kwa Serikali kutoka kwa  shirika la GLRA la Ujerumani nchini leo jijini Dar es salaam.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).

No comments:

Post a Comment