TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, August 24, 2014

MWIGULU NCHEMBA USO KWA USO NA AJALI AKIELEKEA IRINGA.

Baadhi ya Watu wakiwa katika hali mbaya kutokana na ajali hiyo.

Na: Mwandishi Wetu
 
Jana Akiwa njiani kuelekea Iringa,Bahati mbaya anasema aliishuhudia ajali mbele yake ambayo kwa Uweza wa Mungu haikuleta Maafa yoyote kwa abiria na waendesha hivyo vyombo vya Usafiri.

Lakini hata hivyo pamoja na kwamba alikuwa katika safari zake za kikazi ilimrazimu kufanya jitiada za Uongozi ikiwa ni pamoja Kusimama kisha Kusaidia Majeruhi kabla ya hatua za Matibabu Makubwa Kuendelea kutoka sehemu husika.

Mwigulu anasema kuwa katika habari yake iliyotufikia moja kwa moja katika dawati letu la habari "Nashukuru niliweza Kutoa huduma ya Kwanza kwa Majeruhi hapo hapo na baadae kuwakimbiza Hospitali, Tudumishe Utanzania na Ubinadamu Wetu" anasema Mwigulu

aidha kutokana na kitendo hicho Mheshimiwa Mwigulu ameonyesha ni jinsi gani alivyo mtu wa Msaada kwa jamii kutokana na kwamba pia ameonyesha umuhimu wake kwa jamii kwani katika jamii yoyote inatakiwa Kiongozi kuwa mstari wa mbele katika kutekeleza majukumu yanayowakabili wananchi na siyo majukumu yanayoikabili Serikali.

No comments:

Post a Comment