Wakongwe wa Klabu ya Real Madrid
     ya nchini Hispania wakipiga picha za kikundi cha ngoma kilichokuwa
     kikiwatumbuiza mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kabla
     ya kuelekea Mlima Kilimanjaro.
Wachezaji
 wakongwe wa Klabu ya Real Madrid wakiwa katika picha ya pamoja na 
watumishi wa TANAPA mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya 
kupanda Mlima Kilimanjaro.
 Waziri
 wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dk. Fenela Mukangara akitoa 
cheti cha ushiriki kwa mchezaji Ruben De La Red wa Klabu ya Real Madrid 
mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya kupanda Mlima 
Kilimanjaro. 
Wakongwe wa Real Madrid wakiwa katikati ya msitu wa Mlima Kilimanjaro.
 Eneo la Maporomoko ya Maji ambapo wachezaji wakongwe wa Real Madrid walifanikiwa kufika Mlimani Kilimanjaro. 
 Meneja
 Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete (mwenye fulana nyeupe na miwani)
 akiongoza msafara wa wakongwe wa Real Madrid kukwea Mlima Kilimanjaro.
No comments:
Post a Comment