TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Sunday, August 24, 2014

Safari ya 40 ya Bibi Maarufu Mwananyalama A leo

Bibi kijino ni Bibi aliyekuwa maarufu sana katika mitaa ya Mwananyamala A kutokana na kuishi eneo hilo kwa Miaka Mingi Kitendo cha kuiteka Mwananyama, 
aidha inasemekana kuwa Bibni huyo aliyekuwa maarufu alikuwa Mcheshi na mtu wa kupenda kuzungumza na watu wa aina mbali kitendo kilichompatia Umaarufu Mkubwa.
Safari ya 40 Baada ya kifo chake imekamilika jijini Dar es Salaam leo Maeneo ya Mwananyamala A ambako ndiko alipoiacha Familia ya Watoto na Wajukuu wake akiwemo Mjukuu Wake Maarufu kwa Jina la Jasmini ambaye pia ni Mwanahabari katika Magazeti ya Babu Kubwa.

No comments:

Post a Comment