Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakipokea 
nyimbo za Taifa za nchi zao eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la
 Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo 
la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa 
programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.

Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa Tanzania na Burundi katika 
eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero wilayani Ngara 
mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare kwa upande wa 
Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya uimarishaji wa 
mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.

Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakiangalia 
moja ya alama katika eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la 
Mugikomero wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo 
la Nteritare kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa 
programu ya uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.
 Kushoto kwa Rais Kikwete ni Waziri wa Ardhi na Maendeleo na Makazi, 
Profesa Anna Tibaijuka.

Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakizindua 
kwa pamoja eneo la mpaka kati ya Tanzania na Burundi la Mugikomero 
wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania na eneo la Nteritare
 kwa upande wa Burundi wakati wa sherehe za uzinduzi wa programu ya 
uimarishaji wa mipaka ya kimataifa Jumatano Agosti 27, 2014.

No comments:
Post a Comment