TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Wednesday, February 11, 2015

KANISA KATOLIKI BALTIMORE MD LAMUWEKA PADRE MUNISHI WAKFU KUWA PAROKO

IMG_0279Baba padre Honest Munishi akiwekwa wakfu kuongoza kanisa la Katoliki la St.Edward Baltimore Md nchini Marekani katika misa iliyoongozwa na Askofu Dennis Madden wa jimbo la kuu la Baltimore, Jumapili Februari 8,2014. Padre Munishi amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Padre Evod Shao aliyemaliza muda wake IMG_0276Padre Munishi katika ibada. IMG_0284Padre Munishi akitia saini mbele ya askofu baada ya kusimikwa kuwa paroko mpya wa kanisa la Baltimore Md. IMG_0288Baba askofu wa jimbo kuu la Baltimore akimtambulisha padre Munishi kwa waumini wake. IMG_0301Balozi Liberata Mula mula aliongoza watanzania kwenye ibada hiyo kulia kwake ni mwambata wa kijeshi nchini Marekani na Canada Kanal Adolph Mutta. IMG_0307Kikosi cha wanajumuiya wa Kenya wakiimba kumpongeza padre Mushi wakati wa matoleo. IMG_0333Mwenyekiti wa Jumuiya ya wakatoliki watanzania Bw.Pius Mutalemwa na mkewe. IMG_0334Kushoto Bw.Gervas Wambura na katibu wa Jumuiya ya wakatoliki Dan Steven. IMG_0339Mama Mhando. IMG_0354Kikundi maalum kikitumbuiza baada ya ibada. IMG_0369Mwakilishi kutoka ofisi ya Meya wa Baltimore akitoa hotuba. IMG_0376Padre Munishi akiwashukuru wote waliomkaribisha na kumpokea kwa ukarimu mkubwa. IMG_0415Kutoka kushoto kiongozi mkuu wa Padre Munishi, Askofu wa jimbo kuu la Baltimore Dennis Maden, balozi Mula mula na padre Munishi baada ya ibada ya misa kumalizika . Kwa picha zaidi bofya umgana na Sundayshomari.com

No comments:

Post a Comment