TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Monday, February 9, 2015

MKUTANO WA KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA MAAFA MBALIMBALI WAFANYIKA ZANZIBAR.

1
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipoingia katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
2
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akisalimiana na Command Surgeo Usafricom Philip C Knight Sheen alipoingia katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.

3
Baadhi ya Viongozi wa Nchi Tano za mataifa mbalimbali walioshiriki katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar
4
Command Surgeo Usafricom Philip C Knight Sheen akitoa hotuba yake katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
5
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohd kitoa hotuba yake katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
6
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akitoa hotuba katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
7
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi wa Nchi tano za mataifa mbalimbali waliohudhuria mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.

No comments:

Post a Comment