TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, February 12, 2015

Rais Jakaya Kikwete AWAFAGILIA NSSF KWA KUNG'ARISHA MJI WA MOSHI.

Msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukiwasili katika jengo la Kitega Uchumi la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ,NSSF kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa jengo hilo.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe hiyo ya uzinduzi wa jengo la kitega uchumi la NSSF.
Kikundi cha Ngoma kikitoa burudani.
Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii,NSSF ,Ramadhan Dau akizungumza wakati wa sherehe ya uzinduzi wa jengo hilo la kitega uchumi.
Wawakilishi wa Red Cross ambao pia ni wabia katika jengo hilo.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akizungumza wakati wa sherehe ya uzinduzi wa jengo hilo la NSSF.
Waziri wa kazi na Ajira ,Gaudensia Kabaka akizungumza wakati wa uzinduzi wa jengo hilo.
Wawakilishi wa Girl Guides ambao pia ni wabia katika jengo hilo wakifurahia jambo.
Rais Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Jengo la Kitega Uchumi la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii,NSSF mkoani Kilimanjaro.
Viongozi wa UMATI toka kulia ni Mkurugenzi wa fedha stephen lutashubila akifuatiwa na Mkurugenzi wa UMATI ,Lulu Ng'wanakilala na anayemfuatia ni  Meneja Utetezi na Ukusanyaji Rasilimali wa UMATI ,Meshack Mollel.
Baadhi ya viongozi wa taasisi mbalimbali wakiwa katika sherehe hiyo ya uzinduzi wa jengo jipya la kisasa la Kitega Uchumi la NSSF.
Rais Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa jengo la kitega uchumi la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF .
Rais Kikwete akizungumza na mstahiki meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael wakati akitembelea jengo hilo.
Jengo jipya la kisasa la kitega uchumi la NSSF linavyoonekana kwa ndani.
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa UMATI wakiwa ni wabia katika jengo hilo.
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Wafanya kazi wa Red Cross wakiwa na wabia katika Jengo hilo.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Wahandisi walioshiriki katika ujenzi wa jengo hilo.
Rais Kikwete akiwa katika picha ya Pamoja na wafanyakazi wa NSSF mkoa wa Kilimanjaro.
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wakiwemo wa vyama vya siasa.
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Girl Guides .
Rais Kikwete akizungumza na Mshereheshaji katika uzinduzi wa Jengo la kitega Uchumi la NSSF,Peter Mavunde .
Rais Kikwete akiondoka mara baada ya kuzindua jengo hilo la kitega Uchumi.
Rais Kikwete akizungumza na Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ,NSSF,Ramadhan Dau.
Msafara wa Rais Kikwete ukiondoka katika jengo jipya la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF muda mfupi mara baada ya Rais kuzindua rasmi jengo hilo.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment