=================================================
RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA HAFLA YA UTOAJI WA TUZO ZA RAIS KWA WAZALISHAJI BORA WA VIWANDA KWA MWAKA 2015.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na washindi mbalimbali waliopata tuzo za Rais kwa
Wazalishaji bora wa viwanda kwa mwaka 2015. 

======================================
==========================================
WAZIRI WA AFYA MHE.UMMY MWALIMU ATOA TAMKO KUHUSU SIKU YA KUPINGA MATUMIZI YA TUMBAKU DUNIANI, TAREHE 31 MEI 2016
ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA KUPINGA MATUMIZI YA TUMBAKU DUNIANI
===============================================
KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI MUHIMBILI
===================================================
MKE WA RAIS MAMA JANETH AWATAKA WATANZANIA KUWASAIDIA WAZEE NA WATU WENYE ULEMAVU.
============================================
UZINDUZI WA MRADI WA USAID WA UIMARISHAJI MIFUMO YA SEKTA ZA UMMA MKOANI MARA
======================================================
LUHWAVI AKAGUA JENGO LA MIKUTANO LA CCM DODOMA LEO
======================================================
Balozi Herbert Mrango akagua ukarabati MV Magogoni.
Kaimu
Mtendaji wa TEMESA Mhandisi Manase Ole kujan (Kushoto) akitoa maelezo
kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme(TEMESA)
Balozi Herbert Mrango (katikati) wakati Bodi hiyo ilipotembele ukarabati
wa kivuko cha magogoni.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme(TEMESA) Balozi Herbert Mrango( wa tatu kulia) akiongoza na wajumbe wa bodi hiyo wakati Bodi hiyo ilipotembele ukarabati wa kivuko cha magogoni.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme(TEMESA) Balozi Herbert Mrango( wa tatu kulia) akiongoza na wajumbe wa bodi hiyo wakati Bodi hiyo ilipotembele ukarabati wa kivuko cha magogoni.
In loving Memory
===============================================




Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Waziri Mkuu wa Papua New Guinea Mhe. Peter O Neil
Alipowasili Katika kituo cha Mikutano cha kimataifa ACC mjini Papua New
Guinea leo Mei 31,2016 kwa ajili ya kuhudhuria ufunguzi wa mkutano wa
siku mbili kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribean na Pacific (ACP)
unaojadili masuala ya kukuza Usawa na Maendeleo endelevu kwa ajili ya
Wananchi wa Nchi wanachama, kuimarisha majukumu ya Nchi za ACP katika
Utawala Bora na Maendeleo, Usalama na Utulivu wa kisiasa.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe walipokutana Katika kituo
cha Mikutano cha kimataifa ACC mjini Papua New Guinea leo Mei 31,2016
kwa ajili ya kuhudhuria ufunguzi wa mkutano wa siku mbili kwa Wakuu wa
Nchi za Afrika, Caribean na Pacific (ACP) unaojadili masuala ya kukuza
Usawa na Maendeleo endelevu kwa ajili ya Wananchi wa Nchi wanachama,
kuimarisha majukumu ya Nchi za ACP katika Utawala Bora na Maendeleo,
Usalama na Utulivu wa kisiasa.
Wimbo wa taifa ukipigwa katika mkutano huo
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akifuatilia kwa makini Hotuba ya Waziri Mkuu wa Papua New Guinea Mhe.
Peter O Neil alipokua akifungua mkutano wa siku mbili kwa Wakuu wa Nchi
za Afrika, Caribean na Pacific Katika kituo cha Mikutano cha kimataifa
ACC mjini Guinea leo Mei 31,2016 Mkutano huo unaojadili kuhusu masuala
ya kukuza Usawa na Maendeleo endelevu kwa ajili ya Wananchi wa Nchi
wanachama, kuimarisha majukumu ya Nchi za ACP katika Utawala Bora na
Maendeleo, Usalama na Utulivu wa kisiasa.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akifuatilia kwa makini Hotuba ya Waziri Mkuu wa Papua New Guinea Mhe.
Peter O Neil alipokua akifungua mkutano wa siku mbili kwa Wakuu wa Nchi
za Afrika, Caribean na Pacific Katika kituo cha Mikutano cha kimataifa
ACC mjini Guinea leo Mei 31,2016 Mkutano huo unaojadili kuhusu masuala
ya kukuza Usawa na Maendeleo endelevu kwa ajili ya Wananchi wa Nchi
wanachama, kuimarisha majukumu ya Nchi za ACP katika Utawala Bora na
Maendeleo, Usalama na Utulivu wa kisiasa.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
katikati akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Wakuu wa Nchi za
Afrika, Caribean na Pacific waliohudhuria ufunguzi wa mkutano wa siku
mbili unaojadili kuhusu masuala ya kukuza Usawa na Maendeleo endelevu
kwa ajili ya Wananchi wa Nchi wanachama, katika kuimarisha majukumu ya
Nchi za ACP katika Utawala Bora na Maendeleo, Usalama na Utulivu wa
kisiasa. Mkutao huo umefunguliwa leo Mei 31,2016 katika kituo cha
mikutano cha ACC mjini Papua New Guinea. (Picha na OMR)
Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya
Fedha Dkt. Servacius B. Likwelile.na katibu wake Waziri RajabMakamu wa
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya
Fedha Dkt. Servacius B. Likwelile.na katibu wake Waziri Rajab
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akichangia baadhi ya mada zilizowasilishwa kwenye mkutano wa siku mbili
kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribean na Pacific Katika kituo cha
Mikutano cha kimataifa ACC mjini Guinea leo Mei 31,2016. Mkutano huo
unaojadili kuhusu masuala ya kukuza Usawa na Maendeleo endelevu kwa
ajili ya Wananchi wa Nchi wanachama, kuimarisha majukumu ya Nchi za ACP
katika Utawala Bora na Maendeleo, Usalama na Utulivu wa kisiasa.


Katibu
Mkuu wa Wizara ya Afya na Maendeleo Jinsia, Watoto na Wazee, Dk Mpoki
Ulisubisya akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Hospitali
ya Taifa ya Muhimbili (MNH) LEO. Kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Profesa Mohamedi
Janabi, Katibu wa baraza hilo, Dk Kissa Mwambene. Kushoto ni Mwenyekiti
wa baraza hilo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru na Mkurugenzi wa Rasilimali
Watu wa MNH, Makwaia Makani.PICHA NA JOHN STEPHEN, HOSPITALI YA TAIFA YA
MUHIMBILI (MNH)
Wajumbe
wa Baraza la Wafanyakazi Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wakipiga
makofi wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Maendeleo Jinsia, Watoto
na Wazee, Dk Mpoki Ulisubisya wakizungumza na wajumbe wa baraza hilo
Leo kwenye hospitali hiyo.
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa
Lawrence Museru akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi LEO
kabla ya kupiga kura za kuwachagua viongozi wapya wa baraza hilo.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa MNH, Makwaia Makani wa
hospitali hiyo.
Wajumbe
wa Baraza la Wafanyakazi la MNH wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mtendaji
wa Hospitali hiyo, Profesa Lawrence Museru katika kikao hicho.
Wajumbe wakipiga kura LEO za kuwachagua viongozi wapya wa Baraza la Wafanyakazi la Hospitali hiyo.
Dk Kissa Mwambene akiwashukuru wajumbe baada ya kumchagua Leo kuwa Katibu wa baraza hilo.
Wakili Eneza Msuya akiwashukuru LEO wajumbe baada ya kumchagua kuwa Katibu Msaidizi wa baraza hilo.
Kutoka
kushoto ni Katibu wa Baraza la Wafanyakazi wa hospitali hiyo, Dk Kissa
Mwambene, Mwenyekiti wa baraza hilo, Profesa Lawrence Museru, Katibu
Mkuu wa Wizara ya Afya na Maendeleo, Jinsia, Watoto na Wazee, Dk Mpoki
Ulisubisya, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya
Kikwete (JKCI), Profesa Mohamedi Janabi, Katibu Msaidizi wa baraza hilo,
Wakili Eneza Msuya na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa MNH, Makwaia
Makani.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akimkaribisha Mke wa Waziri Mkuu Mama
Marry Majaliwa Ofisini kwake Magogoni jijini Dar es Salaam. Mama
Majaliwa alifika Ofisini hapo ili kujionea shughuli mbalimbali
zinazofanywa na mke wa Rais.
Mke
wa Waziri Mkuu Mama Marry Majaliwa akisaini kitabu cha wageni mara
baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli
Magogoni jijini Dar es Salaam.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akimuonesha Mke wa Waziri Mkuu Mama Marry
Majaliwa mafuta maalumu yanayotumiwa watu wenye ulemavu wa ngozi Albino
ambayo atayagawa hivi karibuni kwa baadhi walemavu wa ngozi katika
maeneo mbalimbali nchini. Pia Mke wa Rais mama Janeth amewaomba
watanzania kuwajali Wazee na watu wenye ulemavu wa ngozi. PICHA NA IKULU



No comments:
Post a Comment