TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, June 2, 2016

SHEAR ILLUSIONS AFRICA YAADHIMISHA MWAKA MMOJA TANGU UZINDUZI WA KIPODOZI CHA LUV TOUCH MANJANO

Kampuni ya Shear Illusions imehadhimsha mwaka mmoja tangu uzinduzi wa Kipodozi Pendwa cha LuvTouch Manjano. Kipodozi cha LuvTouch kilizinduliwa mnamo tarehe 31 May mwaka 2015 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi aliyekuwa mke wa Waziri Mkuu wa zamani Mh. Mama Tunu Pinda katika ukumbi wa Diamond Jubilee. Katika maadhimisho hayo Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions mama Shekha Nasser amewashukuru wanawake na Watanzania kwa ujumla kwa kufanikisha kutambulika kwa bidhaa za LuvTouch Manjano. 


Wanawake na washauri waliohudhuria hafla hiyo walimpongeza mama Shekha Nasser kwa moyo wake wa kujitolea na kuwabeba wanawake vijana. Mmoja wa wazungumzaji na mdau wa mradi, mwanasaikolojia maarufu aunt Sadaka Gandi alisema, ameishi na wanawake wengi nchini lakini hajawahi kuona Mwanamke mwenye moyo wa kujitolea kama wa Shekha. Amewaasa wanawake walionufaika na mradi huo kufanya kazi kwa bidii kupitia Mradi huo kwa kuwa wao wanabahati sana kunufaika kwa kuwa wapo wanawake wengi nchini wasiokua na kazi na wangetamani kunufaika lakini wamekosa nafasi hiyo

No comments:

Post a Comment