Baadhi
ya wananchi wakiwa katika banda la Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote
(UCSAF) wakati wa maonyesho ya SIMU EXPO 2016 leo jijini Dar es Salaam.
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa mwaka 2006 kwa lengo la kupeleka na kufanikisha mmawasiliano kwa wananchi waishio katika maeneo machache ya mijini na maeneo mengi ya vijijini yasiyo na mvuto wa kibiashara kwa watoa huduma ya mawasiliano.
Mkuu
wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Albert
Richard akimuonyesha ramani inayoonyesha maeneo ambayo mfuko umetekeleza
miradi ya kupeleka huduma za mawasiliano baadhi ya wa wananchi
waliotembelea banda la mfuko huo katika maonyesho ya SIMU EXPO leo
jijini Dar es Salaam.
Mkuu
wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Albert
Richard akiwaelezea jambo baadhi ya wa wananchi wa Dar es salaam
waliotembelea banda la mfuko huo katika maonyesho ya SIMU EXPO .
Mwanasheria
wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Ambokile Mwakaje (Kulia)
akimuelekeza baadhi ya maeneo walipotekeleza miradi ya huduma za
mawasiliano mmoja wa mwananchi aliyetembelea banda la mfuko huo katika
maonyesho ya SIMU EXPO.
Afisa
Uendeshaji wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Edwin Makala
akiwaelezea jambo baadhi ya wa es Salaam wananchi waliotembelea banda la
mfuko huo katika maonyesho ya SIMU EXPO.
Mkuu
wa Idara ya Uendeshaji wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Albert
Richard akiwaelezea jambo baadhi ya wa es Salaam wananchi waliotembelea
banda la mfuko huo katika maonyesho ya SIMU EXPO.
No comments:
Post a Comment