TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, August 5, 2014

MAONESHO YA NANE NANE MKOANI ARUSHA WANANNCHI WAFURIKA BANDA LA BALTON KUJIFUNZA KILIMO NA UFUGAJI

 Mtaalamu wa Kilimo wa kampuni ya Balton, Jane Remmy, (kushoto) akitoa maelezo ya jinsi ya kuotesha miche mboga mboga kwa baadhi ya wananchi, waliofika kwenye banda la maonesho ya Nane nane jijini Arusha leo. 
 Sufianimafoto naye hakuwa mbali kupata ujuzi wa kilimo katika banda hilo.
 Maelezo yakiendelea......
 Jane Remmy (kulia) akionesha jinsi wanavyootesha matango...
 Linda Byaba,akiangalia miche ya Maharage....
 Bwawa la kutengeneza la kufugia samaki ama kutumika kumwagilia bustani ya mbogamboga....
 Lango Kuu la kuingilia banda la Balton.....
 Wakazi wa arusha wakimiminika katika viwanja vya maonesho vya Themi.....
 Pia makulaji katika anga hizo kulikuwa ni hatareeeeee
 Kinamama wakiuzaasali.....
 Kilimo katika mabanda mengine viwanjani hapo.....
Banda la Wilaya na Karatu.
 Ofisa Mauzo wa Vifaa vya Kilimo wa Kampuni ya Balton Tanzania, Moses Lembris (kulia) akitoa maelezo kwa baadhi ya wananchi wa jijini Arusha, waliofika katika Banda la kampuni hiyo, kwenye maonesho na Sikukuu ya Wakulima Nane Nane, yanayoendelea kwenye Viwanja vya Themi jijini Arusha,leo.

No comments:

Post a Comment