TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, August 7, 2014

TAHA WASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE MBEYA

Afisa kilimo Mkoa wa Mbeya (Aliyevaa tai) akipokea maelezo ya kilimo cha mboga ndani ya hema maalumu ya kuoteshea nyanya iliyowekwa na Barton Tanzania kwa ushirikiano na TAHAAfisa kilimo Mkoa wa Mbeya (Aliyevaa tai) akipokea maelezo ya kilimo cha mboga ndani ya hema maalumu ya kuoteshea nyanya iliyowekwa na Barton Tanzania kwa ushirikiano na TAHA katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya
Afisa Kilimo na Msimamizi wa ofisi ya TAHA ukanda wa Nyanda za Juu Kusini Bw. Ringo (Mwenye Jaketi jekundu) akifafanua juu ya matumizi bora ya teknoloji za kisasa kwenye kilimo cha mboga ili kuongeza tija kwa MkulimaAfisa Kilimo na Msimamizi wa ofisi ya TAHA ukanda wa Nyanda za Juu Kusini Bw. Ringo (Mwenye Jaketi jekundu) akifafanua juu ya matumizi bora ya teknoloji za kisasa kwenye kilimo cha mboga ili kuongeza tija kwa Mkulima katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya
Mtaalamu wa Kilimo wa TAHA Bw. Anania Bansimbile akiwaonyesha wananchi namna bora ya kuotesha mimea ya mboga kabla ya kupandwa shambaniMtaalamu wa Kilimo wa TAHA Bw. Anania Bansimbile akiwaonyesha wananchi namna bora ya kuotesha mimea ya mboga kabla ya kupandwa shambani katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya
Chainizi iliyopandwa kwa ustadi wa hali ya juuChainizi iliyopandwa kwa ustadi wa hali ya juu.
 
Hema maalumu(greenhouse) la kuoteshea mazao yanayohitaji joto ili yaweze kustawi vizuriHema maalumu(greenhouse) la kuoteshea mazao yanayohitaji joto ili yaweze kustawi vizuri
Plot ya TAHA na mshirika wake Barton kama inavyoonekana katika pichaPlot ya TAHA na mshirika wake Barton kama inavyoonekana katika picha
Mazao ya mboga yaliyopandwa kwa utaalamu wa hali ya juu kwenye vitalu vya mboga vya TAHAPlot ya TAHA na mshirika wake Barton kama inavyoonekana katika picha
Karoti iliyovunwa kutoka katika vitalu vya TAHA kwa ajili ya maonesho ya wakulima katika viwanja vya Nanenane MbeyaKaroti iliyovunwa kutoka katika vitalu vya TAHA kwa ajili ya maonesho ya wakulima katika viwanja vya Nanenane Mbeya
Wananchi wakipokea elimu kutoka kwa mtaalamu wa TAHA namna ya kuotesha nyanya kwenye hema maalumu ya kuoteshea mazao ya mbogaWananchi wakipewa elimu lishe kuhusu umuhimu wa matumizi ya mboga kutoka kwa mtaalamu wa masuala ya lishe wa TAHA Bi. Lawrencia wakati wa maonyesho ya Nanenane Mbeya
Mtaalamu akimuelekeza jambo Mkulima aliyetembelea Banda la TAHAMtaalamu akimuelekeza jambo Mkulima aliyetembelea Banda la TAHA

Uhuru wanted to flee Kenya on Saba Saba day, Raila claims

Monday, August 4, 2014 - 00:00 -- BY JUSTUS OCHIENG
READY FOR TAKE-OFF: President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto in the cockpit of the new Boeing 777-300ER Aircraft at JKIA. Photo/PSCU
READY FOR TAKE-OFF: President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto in the cockpit of the new Boeing 777-300ER Aircraft at JKIA. Photo/PSCU
CORD leader Raila Odinga has slammed President Uhuru Kenyatta’s impromptu inspection of the new Terminal 1A at the Jomo Kenyatta International Airport during Saba Saba rally terming it “cowardly.”
Odinga said Uhuru made an unplanned visit at the JKIA in pretext that he was going to inspect the new Terminal 1A at the facility. Speaking in his mother tongue, Odinga said President Uhuru feared that Cord supporters would storm State House and moved to the JKIA airport “ready to flee.”
Raila added that the move to deploy several police officers to cordon off State House during their rally was cowardly. “He (President Kenyatta) thought that we would rally our supporters to storm State House. We were not stupid to make such a move,” said the former PM.
Raila criticized Jubilee leaders claiming that Saba Saba rally was an anticlimax. He was addressing mourners at Oindo village, Karachuonyo in Homabay County during the burial of former planning minister and area MP Adhu Awiti on Saturday.
- See more at: http://www.the-star.co.ke/news/article-182535/uhuru-wanted-flee-kenya-saba-saba-day-raila-claims#sthash.eEVUQp1S.dpuf

Uhuru wanted to flee Kenya on Saba Saba day, Raila claims

Monday, August 4, 2014 - 00:00 -- BY JUSTUS OCHIENG
READY FOR TAKE-OFF: President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto in the cockpit of the new Boeing 777-300ER Aircraft at JKIA. Photo/PSCU
READY FOR TAKE-OFF: President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto in the cockpit of the new Boeing 777-300ER Aircraft at JKIA. Photo/PSCU
CORD leader Raila Odinga has slammed President Uhuru Kenyatta’s impromptu inspection of the new Terminal 1A at the Jomo Kenyatta International Airport during Saba Saba rally terming it “cowardly.”
Odinga said Uhuru made an unplanned visit at the JKIA in pretext that he was going to inspect the new Terminal 1A at the facility. Speaking in his mother tongue, Odinga said President Uhuru feared that Cord supporters would storm State House and moved to the JKIA airport “ready to flee.”
Raila added that the move to deploy several police officers to cordon off State House during their rally was cowardly. “He (President Kenyatta) thought that we would rally our supporters to storm State House. We were not stupid to make such a move,” said the former PM.
Raila criticized Jubilee leaders claiming that Saba Saba rally was an anticlimax. He was addressing mourners at Oindo village, Karachuonyo in Homabay County during the burial of former planning minister and area MP Adhu Awiti on Saturday.
- See more at: http://www.the-star.co.ke/news/article-182535/uhuru-wanted-flee-kenya-saba-saba-day-raila-claims#sthash.eEVUQp1S.dpuf

No comments:

Post a Comment