TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Thursday, August 7, 2014

WANAODAIWA KUMUUA AFISA USALAMA WA TAIFA WAFIKISHWA MAHAKAMANI WATAZAME HAPA

Watuhumiwa wakiwa wamembeba mtuhumiwa mwenzao ambaye inadaiwa kuwa ni afisa usalama wa taifa.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo imewapandisha kizimbani watu wanne wanaodaiwa kumuua kwa kumpiga risasi Ofisa Usalama wa Taifa, Sylvanus Mzeru maeneo ya Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Aprili 29, mwaka huu usiku.
Watuhumiwa hao ni Mohamed Othuman, Lucy Wiston,Omary Said , Kelvin Peter ambao walisomewa shitaka lao na wakili wa Serikali, Seina Kapenge.Kesi hiyo imeahirishwa hadi Agosti 20, mwaka huu itakaposikilizwa tena katika mahakama hiyo.
 Mtuhumiwa Mohamed Othuman anayedaiwa kuwa ni afisa usalama akiwa amelala chini baada ya kushindwa kukaa.
 Mtuhuhiwa Lucy Wiston akiwa kwenye ulinzi mkali

No comments:

Post a Comment