TAN

TAN

Bayport

Bayport

Kikoa

Kikoa

Myway entertainment

Myway entertainment

FORE PLAN CLINIC

FORE PLAN CLINIC

MPINGA CUP 2016

MPINGA CUP 2016

Mashujaa Fm 89.3, Lindi

Tuesday, August 5, 2014

Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) wakabidhi Msaada wa Vitabu kwa Taasisi 48 za Elimu nchini.

Mwenyekiti  wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa akiwa katika picha ya pamoja na wadau pamoja na wahisani wa Elimu wakati wa hafla ya kukabidhi vitabu kwa ajili ya  kusaidia  shule 45 na Vyuo 3 vya Elimu ya Juu vilivyotolewa na Books for Africa kutoka nchini  Marekani na kusafirishwa kwa hisani ya Mfuko wa Sir. Emeka Offod wa nchini Nigeria leo jijini Dar es Salaam. Picha na MAELEZO.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote(EOTF), Emmanuel  Matee akielezea historia ya mfuko huo kwa wadau mbalimbali wa elimu katika hafla ya kupokea vitabu kwa ajili ya shule za Msingi, Sekondari na Elimu ya Juu vilivyotolewa na Books for Africa kutoka Marekani leo jijini Dar es Salaam
 Mwenyekiti  wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote(EOTF), Mama Anna Mkapa akitoa neno la shukrani kwa wahisani wakati wa hafla ya kukabidhi  vitabu kwa ajili ya kusaidia  shule 45 na vyuo 3 vilivyotolewa na Books for Africa kutoka nchini  Marekani leo jijini Dar es Salaam,kushoto ni Mwakilishi kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bibi.Paulina Mkonongo na katika ni mwakilishi wa Balozi wa Nigeria nchini Bibi. Abiola Delupe.
 Mwenyekiti  wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa akimkabidhi kitabu mwakilishi wa Shule ya Sekondari Overland, iliyopo Kisarawe ndg. Allison Sila  wakati wa hafla ya kukabidhi  vitabu kwa ajili ya kusaidia  shule 45 na Vyuo 3 vya Elimu ya Juu vilivyotolewa na Books for Africa kutoka nchini  Marekani na kusafirishwa kwa hisani ya Mfuko wa Sir. Emeka Offod wa nchini Nigeria  leo jijini Dar es Salaam.
  Mwenyekiti  wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa akimkabidhi kitabu mwakilishi wa Shule ya Msingi Little Hood, Ignas Kamuntu wakati wa hafla ya kukabidhi  vitabu kwa ajili ya kusaidia  shule 45 na Vyuo 3 vya Elimu ya Juu vilivyotolewa na Books for Africa kutoka nchini  Marekani na  kusafirishwa kwa hisani ya Mfuko wa Sir. Emeka Offod wa nchini Nigeria n  leo jijini Dar es Salaam.
  Mwenyekiti  wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa akimkabidhi kitabu mwakilishi kutoka Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka Bagamoyo, Bibi. Victoria Kessy wakati wa hafla ya kukabidhi  vitabu kwa ajili ya kusaidia  shule 45 na Vyuo 3vya Elimu ya Juu vilivyotolewa na Books for Africa kutoka nchini  Marekani  na kusafirishwa kwa hisani ya Mfuko wa Sir. Emeka Offod wa nchini Nigeria  leo jijini Dar es Salaam.
 Mwakilishi kutoka shule ya Sekondari Ujenzi iliyopo Mkuranga ndg. Karumuna Sigsmundi akitoa shukrani kwa Mwenyekiti  wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa kwa niaba ya wawakilishi wa shule zote zilizo kabidhiwa Vitabu vilivyotolewa na Books for Africa kutoka nchini  Marekani na kusafirishwa kwa hisani ya Mfuko wa Sir. Emeka Offod wa nchini Nigeria   leo jijini Dar es Salaam.
 Mwakilishi wa Balozi wa Nigeria nchini Bibi. Abiola Delupe akizungumzia umuhimu wa Vitabu vilivyotolewa na Books for Africa kutoka Marekani na kusafirishwa kwa hisani ya Mfuko wa Sir. Emeka Offod wa nchini Nigeria wakati wa hafla ya kukabidhi vitabu kwa shule 45 na Vyuo vya Elimu ya juu 3, kulia kwake ni Mwenyekiti  wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa,  Mdhamini wa Mfuko Sawa kwa Wote Bibi. Esther Mkwizu(katikati) na  Mwakilishi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bibi.Paulina Mkonongo.

No comments:

Post a Comment